Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Vitz kijicho Cc 990 Mafuta inanusa Full ac Hain kipengele gari imetunzwa sana Dada anatak mil 6.5 maongezi yapo 0783610244
3 Reactions
20 Replies
421 Views
Ukiondoa nyakati za Kampeni za Uchaguzi sijawahi kumshuhudia Tundu Lissu akifanya Mikutano kwa spidi hii tena wakiwa wawili tu kutoka Chadema HQ yaani yeye mwenyewe na Twaha Mwaipaya wa Bavicha...
17 Reactions
64 Replies
2K Views
Mimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu. Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka...
3 Reactions
17 Replies
76 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo tarehe 08/06/2024 kinafanya Mkutano wake wa hadhara Singida Mjini, ambako Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu atahutubia wananchi. Kama ilivyo...
3 Reactions
10 Replies
406 Views
Habari ya asubuhi. Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua...
17 Reactions
84 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani, rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump amefungua akaunti ya TikTok, ili kuwavutia wapiga kura vijana, na kufanya maandalizi kwa ajili ya uchaguzi...
2 Reactions
8 Replies
398 Views
Habari za asubuhi wadau Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja. Ni...
4 Reactions
128 Replies
872 Views
Ifuatayo ni orodha ya nchi zenye idadi kubwa ya watu waliojitanabaisha kama wana upinde [emoji2380] : [emoji1198]Philippines: 11% [emoji631] US: 11% [emoji1242] Thailand: 10% [emoji1054] Brazil...
4 Reactions
35 Replies
325 Views
Chama cha wafugaji kibiashara(Tanzania commercial cattle society) kimeandaa maonesho makubwa ya mifugo na mnada yatakayoanza tarehe 14-16 juni 2024. Yatafanyika katika shamba la mbogo ranches...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wizara ya Nishati imeshiriki Kongamano la Kitaifa la Nishati Jadidifu kwa mafanikio ambapo imetumia kongamano hilo kueleza juhudi zinazofanywa na Serikali katika uendelezaji wa Nishati Jadidifu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,350
Posts
49,827,181
Back
Top Bottom