Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

ni dhahiri siasa safi za maendeleo zinazofanyika Tanzania, zimechochea na kuimarisha mazingira bora zaidi ya kufanya biasha, na kusababisha hivi sasa, karibu kila eneo mijini na vijijini kuna...
0 Reactions
6 Replies
36 Views
Tumekuwa tukiumizwa na vifo vua watu wa karibu Kama ndugu jamaa au marafiki au majirani kutokana na bond tuliyokuwa nayo. Je, kifo Cha mtu Gani maarufu kishawahi kukusikitisha kutokana na mchango...
3 Reactions
72 Replies
670 Views
Habari za uhakika ni kwamba kocha wa zamani wa Simba maarufu Uchebe amechukuliwa kuinoa Singida Black Stars. Singida safari hii wanawekeza sana.
3 Reactions
53 Replies
1K Views
Raisi Xi wa China alitoa vitisho kuhusiana na ziara ya bi Perosi nchini Taiwan. Wote tulisikia. Pamoja na vitisho vyote, Marekani wakapuuza, bi mkubwa akaingia Taiwan. Wote tuliona, mchana kweupe...
0 Reactions
14 Replies
120 Views
Salaam Wakuu, Kwanza kabisa niwashukuru JamiiForums kwa kupaza sauti yetu ya ubovu wa barabara uliokuwepo kuanzia kipande cha Kwa Mpalange mpaka Mwanagati. Barabara hii ilikuwa mbaya kupitiliza...
0 Reactions
4 Replies
160 Views
Naona kila kona sasa hivi ni juu ya mafyongo ya teuzi. Nakumbuka enzi za hayati Julius (Mwl) mtu alikuwa akipata taarifa za teuzi zake kupitia RTD na unakuta mtu yupo baa, nyumbani au kilabu cha...
1 Reactions
8 Replies
160 Views
Huenda hotuba hii ya Askofu Mwanamapinduzi ndio chanzo cha yeye kukamatwa na Polisi. ======= Askofu Machumu: Chini ya Serikali ya mama Samia Suluhu Hassan, yeye ndio ameamua rasmi kuiuza...
11 Reactions
34 Replies
2K Views
Binafasi napendekeza badala ya kuwapa waalimu mitihani kabla ya kuajiriwa, kuwe tu na kigezo cha pass stahiki cha masomo atakayofundisha..... Sijui kwa nini umchague mwalimu wa Kiswahili & History...
0 Reactions
6 Replies
83 Views
Sijakosea ndio nilichomaanishaa Wanaume wa nyakati hizi hamjiamini muda wote munawaza usaliti usaliti usaliti usaliti Kila nyuzi humu ni kuhusu usaliti Hivi inakuaje unamuwazia mwenzio...
17 Reactions
97 Replies
5K Views
Muda si mrefu tutawapa na Serikali za mitaa wanavyoongezeka. Immigration fanyeni msako wa guest za Mbagala Zakhem kila Alhamisi mpaka Jumapili Hizi guest nyingi huhifadhi waethiopia wanaosubiria...
2 Reactions
49 Replies
882 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,210
Posts
49,823,021
Back
Top Bottom