Marekani / ulaya kuna ajira nyingi sana, kupata pesa ni juhudi zako tu, ni kawaida kukuta mtu anafnya kazi za kipato cha chini zisizohitaji elimu ya chuo kwenye godown analipwa elf 40 kwa saa...
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya
Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu...
Mwanamuziki mkongwe nchini, Rehema Chalamila aka Ray C amemtembelea msanii mwenzie mkongwe nchini Lady Jaydee na kupeana mawili matatu huku wakifarijiana na kukumbushiana enzi zao, hata hivyo...
Maneno ya binadamu yanaweza kuchelewesha ukweli usionekane mapema ila hayawezi kubadilisha uhalisia wa jambo
Kukatishwa tamaa ni fursa ya kuchimba zaidi ndani yako na kugundua nguvu yako ya...
Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili.
Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara...
KITABU CHA KUPUNGUZA GHARAMA ZA UFUGAJI KIPO TAYARI,
SOFT COPY NI TSH 2000.
HARD COPY 20000.
KITABU KIPO MAKTABA YA TAIFA KWA UWEZO WA ALLAH.
NJOO INBOX KAMA UNAHITAJI.
SURA YA KWANZA
VYAKULA...
Hizi vyuma bado sijaziona kwenye STM na STN za serikali. Nina expect zikisambaa madereva wa Serikali watasumbua nazo sana mitaani.
Kumbuka inashare platform na big boss J300, na sasa wameipeleka...
Habari WanaJamiiForums
Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi.
Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini...
Haji Manara ameamua kuungana na Dotto Magari kumshambulia aliekuwa Ex wa Mke wake Dulla Makabila.
Angalia video hapa
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.