Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
42M Views
Leo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali. Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani...
11 Reactions
70 Replies
3K Views
=== Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania. Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo...
4 Reactions
18 Replies
89 Views
Nahitaji vitu vifuatavyo. SAHANI ZA UDONGO 20 SAHANI ZA MIFUPA 200 VIKOMBE VYA MIFUPA 200 VIJIKO VIGUMU 200 VIKOMBE VYA UDONGO 20 MAJABA MAKUBWA 4 PIPA LA MAJI...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nimekuwa nikiona Wanaume wakilalamika kwamba Masuala ya Ufeminia yamekuwa yakiwaacha nyuma kwa kutoa kipaumbele kwa Wanawake na Wasichana na kumsahau Mtoto wa Kiume Mimi ningetamani kufahamu...
1 Reactions
2 Replies
15 Views
Kama sio mhanga wa hii kadhia basi moja wa ndugu au rafiki yako atakuwa amekutana nayo .Kumekuwa na utapeli unaoshika kasi hasa mtandao wa facebook . Matapeli wanaweza kuingia kwenye account yako...
0 Reactions
5 Replies
23 Views
Naona mlingano wa kieneo unaenda kutimia!! Iran keshawapelekea jamaa mfumo wa kutungulia ndege hatari wa Sayad-2 soon tutaanza kushuhudia ndege za F-16 za Israel zikiangushwa kama mapera...
3 Reactions
6 Replies
282 Views
Tatizo ni kwamba wasomali hawapendi kuwekwa kundi moja na waafika licha ya kuwa ni waafrika, wao hujiona waarabu lakini wanawaona ni waafrika, kiufupi wao hawana strong bond na waafrika wengine...
6 Reactions
55 Replies
2K Views
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao. Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule? Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee...
19 Reactions
75 Replies
2K Views
Kwema wakuu, Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa...
6 Reactions
20 Replies
275 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,994
Posts
49,816,604
Back
Top Bottom