Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salaam, Shalom!! Kusaini mikataba inayohusu nchi kunahitaji Umakini wa Hali ya juu, mikataba yenyewe ni very technical na inahitaji muda kuusoma na kujua hila za vifungu vya mikataba vinavyoweza...
6 Reactions
68 Replies
800 Views
TUambiane jamani tujue
2 Reactions
55 Replies
550 Views
Ni kama Rais anategewa kwa maksudi na wasaidizi wake ili abebe lawama na aibu yeye Na bahati mbaya nadhani walishamjua udhaifu wake kuwa huwa hapitii na kusoma kile kimeletwa mezani Wasidizi...
5 Reactions
23 Replies
308 Views
=== Msemaji wa IKULU ni mtu muhimu sana kwani ndio mtu wa kwanza kumpaka Rais mafuta mbele ya umma wa Tanzania. Mkurugenzi wa IKULU Mawasiliano anazungumza badala ya Rais wa nchi hivyo...
18 Reactions
96 Replies
982 Views
Askofu Mwanamapinduzi anesema amekamatwa na Polisi kutokana na kauli yake ya uchochezi "Rais amekataliwa na Mungu" Ametoa ufafanuzi huo Ukurasani kwake X Namuuliza askofu Mwanamapinduzi; enzi za...
1 Reactions
37 Replies
501 Views
Huwezi kumsajilia wachezaji kocha, mtasumbuana sana kwenye matokeo. Unamtumia Mgunda na Matola kwenye usajili kisha timu unamkabidhi mzungu aifundishe!!! Umefeli kabla ya ligi kuchezwa.
6 Reactions
13 Replies
347 Views
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu...
1 Reactions
17 Replies
211 Views
Kama Hali iko hivo bila shaka Elimu Bure ilishafutwa kimyakimya.
0 Reactions
6 Replies
133 Views
Habari WanaJamiiForums Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi. Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini...
11 Reactions
93 Replies
2K Views
Habarin wa JF natumaini mko powah kabisa Huyu fundi simu amenishangaza sana mpaka nimeona nilete uzi huu kwa wale wahanga wa simu mbovu mnao shinda kwa mafundi iko hivi mimi nina jamaa yangu...
5 Reactions
74 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,035
Posts
49,817,590
Back
Top Bottom