Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi-Sugu Moto Chini amekabidhi Madera 100 kwa Jumuiya ya Wanawake BAWACHA pamoja na Vitabu 50.
Sugu ametoa taarifa ya makabidhiano Ukurasani X...
Hivi kuna mtu nyuma anaangalia kama watu kama Songesha, Nivushe na watoa mikopo kwenye simu kama hizo hela wanazokopesha wanazo keshi?
Kwa picha ya fasta fasta hawa jamaa ni zaidi ya benki kuu...
Habari za wakati huu waungwana wa JF.
Kutokana na hali ilivyo kwa sasa nchini, imeniwia vigumu kuelewa na kupata maana halisi ya neno uzalendo.
Kumekuwa na makundi mawili ya watu, wale wanao...
Wakuu hope salama, polenii na majukumu ya kulijenga taifa na familia kwa ujumla.
Dhumuni la kuandika huu uzi ni namna now navyojiskia, ilikuwa mwaka 2018 baada ya kumaliza chuo nikiwa kitaa sina...
Jana kwenye uzinduzi wa 7 Media ya baba levo niliona kumbe Mwijaku hana shida na Diamond wako poa kabisaa.
Pointi yangu natamani sana Diamond amwambie mwijaku hata kama anamkubalia amtukane ili...
Mashangazi wengine wananyanyasa sana vibenteni, tena ukute shangazi la kanda fulani fulani za Tanzania.
Kwanza wa bahili kutoa pesa na wakikupa ni kwa masimango na unaifanyia kazi kwelikweli...
Mhasibu wa Idara ya Mapato ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Amon Joseph (41) amefariki dunia katika ajali ya gari akienda kwenye maziko ya baba mzazi wa mhasibu mwenzake, yaliyotarajiwa kufanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.