Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili. Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara...
2 Reactions
39 Replies
574 Views
Marekani imekuwa ikifuatilia mwenendo wa meli za kijeshi ambazo zimeonekan zikielekea upande wao kwenye visiwa vya Carribean. Haijajulikana kiuhakika meli hizo za kawaida za kijeshi na zile za...
10 Reactions
55 Replies
2K Views
Habari za humu jf Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa Sifa zangu Trible:Chagga Elim Diploma Kazi: Biashara ndogondogo Dini:Mkristo Lutheran(KKKT) Sina mtoto wala...
28 Reactions
152 Replies
3K Views
🚨 BREAKING. wajumbe wote wa bodi ya klabu ya Simba SC kutokea upande wa muwekezaji, Mohamed Dewji wamejiuzulu Mohamed Dewji aliwapigia Simu wajumbe wote wanaotokana na upande wake ambao...
1 Reactions
6 Replies
7 Views
Mambo mengine ni serious sana, mfano haya mambo mbona kama ni makubwa na baadhi inaonekana hayana ukweli?
1 Reactions
5 Replies
346 Views
Za siku nyingi wana JamiiForums, natumaini mu wazima. Naomba nitoe shukrani zangu kwa JF kwa maada mbalimbali zimekuwa zinasaidia sana, mimi si mtoa maada sana ila msomaji mzuri. Niende kwenye...
10 Reactions
31 Replies
956 Views
Wakuu salama? Nadhani mmeona mkeka wa mama, Zuhura Yunus kaondolewa kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu mpaka kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Naomba kuwauliza wana Jf kama kuna mtu amesha wahi kusikia lolote kuhusiana na hii biashara ya Q-NET anielezee. Kwasababu hivi karibuni kuna ndugu yangu ameniomba nimkopeshe hela kias cha...
1 Reactions
82 Replies
25K Views
Hivi kuna mtu nyuma anaangalia kama watu kama Songesha, Nivushe na watoa mikopo kwenye simu kama hizo hela wanazokopesha wanazo keshi? Kwa picha ya fasta fasta hawa jamaa ni zaidi ya benki kuu...
6 Reactions
37 Replies
820 Views
Naam, ni Hakika! Wakati ligi mbalimbali duniani zikielekea ukingoni, mashabiki kote duniani wanatarajia kwa hamu kuanza kwa tukio kubwa zaidi la soka barani Ulaya, UEFA EURO 2024. Mashindano...
10 Reactions
41 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,845
Posts
49,812,871
Back
Top Bottom