Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu heshima mbele. Nimetoa elfu 40 kwa sim banking kuja kwenye lain yangu ya simu ili niweze kulipia huduma fulan ambayo nimeshaitumia na ndio nataka kuondoka. Pesa imekatwa kwenye CRDB...
7 Reactions
28 Replies
433 Views
Kwenye magari ukikaa ukaanza ku falling a sleep lazima shingo iende upande wa kulia sijawahi kujikuta nimesinzia Kwa upande wa kushoto. Tafiti zinahitajika ili tujue haswa sababu ya hili jambo.
3 Reactions
7 Replies
196 Views
Hatakama mnanidai ndo mnitafute kama kuku., kila mahali natafutwa ,. Kwani Sina uhuru wangu binafsi
6 Reactions
9 Replies
220 Views
Mimi ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka jana na nilipata ufaulu ufuatao CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' CHEM - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'D' Ni kipi kitakuwa sahihi zaidi...
1 Reactions
14 Replies
504 Views
Niende kwenye hoja. Historian ya Vatican inafahamika wajuzi wanajua yakiyomo lkn ama wanajua au hawajui kwamba Vatican iliviondoa vitabu 14 kwenye biblia maafuru "the hidden books". Ingawa Bible...
8 Reactions
72 Replies
10K Views
Watoto wengi waliozaliwa kuanzia miaka ya 2000 (millennials) wengi wao hawana nafsi ni kama Bots tuu. Maisha yao ni vanity and greedy hawana uwezo wa kuchambua hoja au uwelewa wa kuwa na malengo...
11 Reactions
37 Replies
628 Views
Unaweza kulala kitandani, ukamuona mtoto anang’aa, shape imejilaza ila hata kumgusa unashindwa, au hutamani kwa maudhi anayokupa. Yani utaambulia sifa za watu tu kua mke wako mzuri ila wewe...
46 Reactions
122 Replies
4K Views
Wanaitwa king cobra kwa sababu wanaweza kuua na kula cobra wenzao. Cobra mfalme mzima ni wa manjano, kijani kibichi, hudhurungi au mweusi, kwa kawaida huwa na mwamba wa rangi ya njano-nyeupe King...
0 Reactions
4 Replies
146 Views
Wakuu naamini mu wazima na mnaendelea vizuri na TOZO. Mimi nimekutana sana na visa vya kupendwa na wake za watu kimasihara sihara mpaka nahisi ni pepo. Wadada single nawapata kwa nadra sana. Ila...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau hamjamboni nyote? Uzi huu unakusudia kuwaenzi Waandishi wetu wakongwe na wanaoheshimika wa ndani na nje ya nchi. Hivyo unachotakiwa ni kuweka msemo/ nukuu moja, jina la Mwandishi , Kitabu...
10 Reactions
134 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,895
Posts
49,813,976
Back
Top Bottom