Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
152 Reactions
13K Replies
4M Views
Jamani dada zetu eeh leo ngoja tuwaambie, kwanza kuolewa ni heshima sana na ukimuona mtu anakuoa kwanza kakueshimu sana kama mlikuwa hamjui. Sasa basi sisi wanaume tunamuogopa sana mwanamke...
42 Reactions
520 Replies
49K Views
Tukiwambia Israel hana alichofanya zaidi ya kuonea watoto, wanawake, vizee, vijana wasio kuwa wanamgambo wa Hamasi mnasema oh Hamasi wanajificha kwenye nyumba za raia kama ni kweli maneno yenu...
2 Reactions
26 Replies
645 Views
One blow only and there goes the terrorist
9 Reactions
76 Replies
1K Views
Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya? Ikulu imekuwa kichekesho...
29 Reactions
250 Replies
12K Views
AFRIKA KUSINI: Chama Tawala cha African National Congress (ANC) kimekubali kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kupoteza idadi kubwa ya viti vya Ubunge. Akitoa taarifa hiyo baada ya Kikao...
1 Reactions
3 Replies
24 Views
1940 May ulitokea mvutano mkubwa wa baraza la mawaziri nchini Uingereza baina ya pande mbili, upande mmoja ilikuwa wakiunga mkono kuongea amani na Germany na upande mmoja waliunga mkono kuendelea...
20 Reactions
34 Replies
1K Views
Good morning members. "Kua uyaone".Ni maneno aliniambia marehemu mama yangu.Na kweli nayaona leo.Mimi nguva jike napambana wanangu wasiteseke siku za usoni. Nimenunua kijiko cha...
3 Reactions
6 Replies
8 Views
Jamani akina dada kuolewa ni heshima kubwa sana kwa mwanamke yeyote yule. Hata uwe na maisha ya kifahari kiasi gani kama huna mume hujakamilika. Ili uolewe kuna mikao (pose) unatakiwa kuwa nayo...
20 Reactions
137 Replies
21K Views
Serikali ya Cuba imethibitisha uwepo wa nyambizi tatu za nyuklia Nchi humo hii inafuatia kauli ya Rais dhaifu wa Marekani Joe Biden kutaka Ukraine ishambulie Russia kwa silaha za Marekani...
6 Reactions
34 Replies
593 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,929
Posts
49,815,027
Back
Top Bottom