Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Achila mbali IDs au avatar yake... Ni nani miongni mwa wanaFamilia wa JF ambao kwa mabandiko au michango yao ya mawazo humu jukwaani, unapoisoma tu, wanaashiria kabisa ni warembo with brain...
17 Reactions
510 Replies
7K Views
Tumeendelea kufuatilia ili kujua sababu hasa ya Bwana Malissa kukamatwa tena leo na kwamba eti ana kesi mpya huko Kilimanjaro. Katika machache tuliyoyapata ni kuhusika kwa Adolf Mkenda...
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Rais Samia afanya uteuzi na kufanya mabadiliko ya watendaji wa Serikali.
17 Reactions
134 Replies
8K Views
Natafuta partner (Mwanamke). Vigezo: Mwembamba na White. Mkristo au Muislamu. Elimu yoyote. Awe anafanya kazi. Umri 23-27 Kabila lolote. Asiwe na mtoto. Upande wangu: Elimu/ degree Kazi/...
8 Reactions
24 Replies
444 Views
Rafiki yangu mpendwa, Utajiri ni kitu kizuri sana kwenye maisha. Hiyo ni kwa sababu utajiri unatuweka huru, kwa kutuwezesha kuyaishi maisha yetu vile tunavyotaka. Kitu kimoja ambacho watu wengi...
0 Reactions
4 Replies
162 Views
Wadau hamjamboni nyote? Ndugu zangu sio kuwa namchukia Mheshimiwa Mpina au napingana na uhuru wa kutoa maoni. Nimeleta hoja hii ili nipate majibu kutoka kwake kutokana na kauli zinazoikosoa...
1 Reactions
7 Replies
114 Views
Milton Lupa amefariki juzi kwa ajali ya gari Morogoro. Leo anasomeka mkeka wa uteuzi How comes? Hivi Katibu Mkuu Kiongozi umeruhusuje huu mkeka kutoka na makosa haya? Ikulu imekuwa kichekesho...
20 Reactions
143 Replies
5K Views
Mhasibu wa Idara ya Mapato ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Amon Joseph (41) amefariki dunia katika ajali ya gari akienda kwenye maziko ya baba mzazi wa mhasibu mwenzake, yaliyotarajiwa kufanyika...
2 Reactions
9 Replies
353 Views
Huyu mtu aliyepiga picha na Dkt. Magufuli ana cheo gani ndani ya CCM?
24 Reactions
333 Replies
94K Views
Hongera sana Mkuu wa wilaya ya Ubungo kwa kudhamiria kutokomeza biashara haramu ya kuuza mili. Leo hii tarehe 6/06/2024 Mkuu wa wilaya amekamata jumla ya madada poa 20 wakiwemo wateja wa biashara...
2 Reactions
38 Replies
574 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,845
Posts
49,812,871
Back
Top Bottom