Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jeshi la Africa kusini linategemea kufunga virago msumbiji ambako vikosi vya SADC vikiongozwa na South Africa vilikua vikipambana na Kundi la kigaidi la kiislam Msumbiji. Hii ni kutokana na siasa...
3 Reactions
45 Replies
862 Views
Habari ya muda huu Mimi ni mwanamke mwenye miaka 32, ninahitaji mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano tukielewana tufunge pingu za maisha. Sifa zangu ni Mweusi Mkristo Ninafanya bihashara Nina...
7 Reactions
35 Replies
238 Views
Mbunge wa Kahama Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita...
15 Reactions
87 Replies
2K Views
ICC kusema Waziri Mkuu wa Israel akamatwe Kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu, naona kunashadadiwa Sana na baadhi ya watu. Lakini makosa ya Netanyahu yanafanana Sana na makosa anayotuhumiwa...
9 Reactions
51 Replies
897 Views
Bila shaka mko poa kabisaa. Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu, uwa naona kinyaa sana pale nakutana na mwana flani unategemea mnapiga stori zenu binafsi au tudiscuss mambo ya maana au...
13 Reactions
72 Replies
1K Views
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake. Nitaleta update zaidi. Wanawake kuweni sana makini...
23 Reactions
433 Replies
12K Views
Amani iwe kwenu, Ufuta ni zao moja zuri sana kibiashara, hapa nilipo ni nimevuna takribani gunia kama 20 ivi. Uliko bei ya ufuta ikoje?, ili tuangalie soko sehemu nzuri.
2 Reactions
16 Replies
224 Views
Kama imewezekana kuwahamisha Wamasai kutoka Ngorongoro na kuwapeleka Handeni mkoani basi Hata Wandengereko wanaweza kuhamishiwa Rombo Kilimanjaro ambako kuna eneo kubwa liko Wazi Kuwachanganya...
13 Reactions
37 Replies
2K Views
Swali hapo liko wazi Kabisa Hakunaga kifungu cha katiba kinachoruhusu Bunge kuvunjwa na kuitishwa Uchaguzi Mkuu wa wabunge? Nawasilisha Mlale Unono😂😂
1 Reactions
33 Replies
766 Views
Najua ni ngumu/haiwezekani kubadili taratibu au mambo fulani za kiimani japo unaweza kukuta yanakukera. Maana kuna mambo mengi tumeyakuta yakifanywa na watangulizi wetu na sisi tumekuzwa ktk hayo...
3 Reactions
13 Replies
101 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,406
Posts
49,689,865
Back
Top Bottom