Mifano kwa CCM iko wazi akiingia Mwenyekiti Mpya anaanza Kusafisha Sekretarieti ya Chama na kuingiza Jamaa na Rafiki zake kadhalika Chadema itakuwa hivyo
Sasa wale wanaolisha na kusomesha watoto...
Kwenye Kujifunza huwa Kuna Mental Model Moja Inaitwa…
“CYCLE OF COMPETENCE”
Yaani…
“Eneo ambalo Wewe una MAARIFA ya Kujitosheleza”
Mfano…
Kama wewe ni MPISHI Unaweza kuwa Unajua…
Diet...
Kumekuwa na Tabia za watu, Baadhi ya Maeneo hasa Miji mikubwa hapa Tanzania. Watu kufanya mazoezi Barabarani. Kundi la watu kufanya mazoezi ya kukimbia na kuleta msongamano wa magari.
Kwa mtazamo...
Mimi nilitamaani mama afanikiwe na bado natamaani!
Mimi ni wale tuliotolewa upinzani kwa 'lazma' na kuniunga CCM..
Sijui leo nina sura gani?
Ila kwasababu sura ya kwanza ilikuwa kusema ukweli...
Habar wana jamii forum mm ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mm hata nifanye nini nianakosea...
Kwa nyakati tofauti kumekuwa na Viongozi walionukuliwa wakisema "Nchi hii imechezewa sana, Nchi iligeuzwa Shamba la Bibi lakini wahusika hawatajwi. Wapo waliowahi kutoa kauli za Vitisho ikiwemo...
Nimeitafakari sana kauli ya Zitto aliyoitoa kipindi kile ana mgogoro na kilichokuwa chama chake cha CHADEMA mwaka 2014. Akijaribu kumaanisha kuwa huenda kifo cha Chacha Wangwe kilikuwa na walakini...
Rafiki yangu mpendwa,
Utajiri ni kitu kizuri sana kwenye maisha.
Hiyo ni kwa sababu utajiri unatuweka huru, kwa kutuwezesha kuyaishi maisha yetu vile tunavyotaka.
Kitu kimoja ambacho watu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.