Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Feisal ameulizwa ulipofunga uliweka isharaaaa uwanja mzima washike adabu ndio.... Je, unakumbuka baba na mama walikuwa uwanjan kaanza kucheka hahahaa kwahio wazazi wako nao washike adabuuuuu...
5 Reactions
13 Replies
408 Views
Position: Content Manager/Moderator (7) Location: Dar es Salaam, Tanzania Organization: JamiiForums About Us: JamiiForums is a Non-Governmental Organization in Dar es Salaam, Tanzania, dedicated...
12 Reactions
38 Replies
1K Views
Mchungaji Gwajima alimwambia Lissu kuwa kama angeenda Dodoma basi angepigwa risasi. Hiyo ilikuwa ni siku moja kabla ya Lissu hajapigwa risasi na baada ya kukaidi na kwenda Dodoma kweli akapigwa...
13 Reactions
112 Replies
5K Views
Kwa nyakati tofauti kumekuwa na Viongozi walionukuliwa wakisema "Nchi hii imechezewa sana, Nchi iligeuzwa Shamba la Bibi lakini wahusika hawatajwi. Wapo waliowahi kutoa kauli za Vitisho ikiwemo...
0 Reactions
2 Replies
13 Views
Maisha ni nyumba guys, na kabla ujenge lazima uwe na kiwanja. Hata usipoishi huko we jenga pangisha na uwe urithi kwa watoto baadaye. Ft. 60x50, kipo mbande, mwenyewe anashida anamgonjwa so...
3 Reactions
7 Replies
105 Views
Kylian Mbappe kapotea kujiunga na Madrid kwakuwa sioni nafasi yake ya kucheza na je ni kwa namna gani atavunja utawala wa Vini jr
2 Reactions
13 Replies
114 Views
Waziri Januari Makamba amesema hata kama hatumkubali Samia ni wetu hivyo tunatakiwa kuacha siasa hasa kuhusu ziara zake nje ya nchi kwani zimeleta manufaa makubwa kwa nchi. Waziri Makamba...
4 Reactions
42 Replies
911 Views
MBUNGE WANU H. AMEIR APOKEA CERTIFICATE OF RECOGNITION YA KUHAMASISHA UTUNZAJI BORA WA MAZINGIRA Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwanamke Initiative Foundation (MIF) na Mbunge...
0 Reactions
2 Replies
12 Views
JF wasaalam, Kwa muda mrefu sasa najionea Kwa macho yangu wafanyabiashara wa Nchi jirani wakinunua nafaka vijijini. Karibia Kila Nchi inayotuzunguka wafanya biashara wa mazao wamekuwa wakiingia...
2 Reactions
22 Replies
184 Views
Naomba kuuliza swali kwa Wana #JF ✍🏾 Hivi ni usafiri gani wenye uhakika kwa usalama kupita mwingine? (a) Gari (b) Treni (c) Boti au meli (d) Ndege
1 Reactions
12 Replies
30 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,788
Posts
49,811,299
Back
Top Bottom