Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu nimechoka toka jana sijalala... Nahisi kuchanganyikiwa... Nahisi maluwe luwe . Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu... Nimechoka sasa nimechoka. Kama mbwai iwe mbwai tuu...
6 Reactions
70 Replies
350 Views
Sijaielewa hii message, walimu naombeni mnitafsirie. Huyu dogo yupo kidato cha nne na anategemea kufanya mtihani mwaka huu.
5 Reactions
16 Replies
64 Views
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe Martin Maranja. Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi CHADEMA ilivyosheheni wahuni...
23 Reactions
223 Replies
6K Views
Ni kwa kipindi kirefu tumeona serekali ikipambana sana kuzuia matumizi ya bangi na miraa (mirungi) lakini kwa tafiti zangu binafsi kwa wale watumiaji sijawahi kuona mtumiaji wa bangi amekosa bangi...
0 Reactions
11 Replies
98 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
44 Reactions
52K Replies
3M Views
Wakuu kuna taasisi moja ya umma nimeenda kupewa huduma nikapewa control namba nilipie ila nilichoambulia kila wakala anasema hii haiwezekani kulipa. Nikarudi kwa taasisi husika nikawapa cash...
2 Reactions
5 Replies
88 Views
  • Suggestion
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Elimu ya sekondari imekua ni muhimu kwa watu wote (elimu msingi), lengo ni kuwa kila mtu walau afike kidato cha nne. Ni jambo...
6 Reactions
20 Replies
284 Views
Nauliza tu maana Labda ulikuwa ni Mwaliko tu wa kupongezana Lakini kama ndio Vikao vya kikatiba vitakuwa vinafanyikia hapo hotelini na Mwenyekiti kulipwa kwa Fedha za ruzuku hiyo itakuwa si sawa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
1. Kilimanjaro 2. Kagera 3. Tanga 4. Ruvuma 5. Manyara
0 Reactions
9 Replies
181 Views
Ndoto, matarajio na matamanio ya Watanzania wengi wa makundi mbalimbali kwa sasa ni katika Chama Imara Sana cha Mapinduzi (CCM). Hii ni kutokana na mipango na mikakati yake katika kuwaongoza...
3 Reactions
79 Replies
731 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,627
Posts
49,807,317
Back
Top Bottom