Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama heading inavyojieleza Mimi ni kijana wa kitanzania mpweke haswa sina marafiki in real life. Niko hapa kuomba urafiki na watu wapya ambao tutasaidiana Mambo mbalimbali. Anyone who is...
10 Reactions
162 Replies
2K Views
'Made in China 2025' ukipenda iite MIC25 Huu ni mpango kabambe wa serikali ya China wa miaka 10 (2015-2025). Ambapo China imepanga kufikia 2025 ijitegemee kabisa katika teknolojia za hali ya juu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wakuu nimechoka toka jana sijalala... Nahisi kuchanganyikiwa... Nahisi maluwe luwe . Sielewi kwanini haya yanatokea kwangu... Nimechoka sasa nimechoka. Kama mbwai iwe mbwai tuu...
8 Reactions
90 Replies
709 Views
1. Kilimanjaro 2. Kagera 3. Tanga 4. Ruvuma 5. Manyara
0 Reactions
13 Replies
275 Views
Baada ya mgomo wa madaktari Tanzania ulioacha vifo vingi na kufanikisha maboresho mengi katika sekta ya Afya miaka kadhaa iliyopita Sasa na Walimu nao wamekuja na mgomo baridi usioonekana kwa...
12 Reactions
28 Replies
536 Views
Utalii sio lazima uende Serengeti Moja ya utalii ni kwenda mikoa am to hujawahi kufika unweza ukajikuta unafurahia pia Kuna siku nilipanda basi tu nikasema Ngoja nikaione mtwara kma masihara...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki...
8 Reactions
68 Replies
1K Views
Mchungaji Peter Msigwa akizungumza Jumatano kwenye mkutano wa hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu uliofanyika Jumatano Juni 05, 2024 katika Kijiji Ughandi -Singida Kaskazini...
15 Reactions
44 Replies
1K Views
Naomba kufahamu ni hospital gani au Dr gani anaweza saidia tiba ya tezi dume. Mzee wangu ameonekana na tezi dume kwa vipimo vya awali. Mgonjwa yupo Morogoro.
1 Reactions
7 Replies
126 Views
  • Suggestion
Awali ya yote, naomba nieleze historia yangu kwa ufupi. Nia na madhumuni niweze kujenga picha ya jumla katika lengo zima la uzi huu. Nilizaliwa katika mkoa wa Mwanza nchini Tanzania, Baba yangu...
25 Reactions
76 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,632
Posts
49,807,467
Back
Top Bottom