Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari zenu wadau wa ujenzi. Kama title inavyojielezea. Nahitaji kujenga hapa Singida mjini na mimi sio mwenyeji sana, naomba kuuliza kwa wakazi wa Singida bei za viwanja hapa Manispaa kwa wastani...
2 Reactions
3 Replies
107 Views
Shalom, Daah nimepita jumapili na jumatatu pale Arusha Kila mwenye Bar anafanya ubunifu wa kuweka Wahudumu Wenye Matako mazuri na makubwa ni full shangwe. Sijui hii tabia ya Arusha na matako...
1 Reactions
5 Replies
6 Views
Kijana kuwa makini na hawa wazee, wazee ni watu wa bad sana, hasa kwa sisi wapambanaji ambao wapenzi wetu wapo mbali. Kizazi chetu hiki Love Distance ni ngumu sana na hazidimu sababu...
4 Reactions
152 Replies
871 Views
Niliandika siku si nyingi hapo nyuma ni kwa nini ujenzi wa barabara hauanzi na maeneo hatarishi yanayoua wananchi kama Simike, Mlima Iwambi na Mlima Nyoka? Badala yake wajenzi wapo busy na maeneo...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Milion 10 inatosha kuanzisha biashara ya Baa? Uzuri wa biashara hii unaweza fanya popote budget yangu ni mil 10 ambayo itajumuisha TV 3, friji, viti, meza, jiko, wafanyakazi 3 wa kuanzia, mziki...
8 Reactions
55 Replies
991 Views
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako 1:Iphone kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa...
14 Reactions
61 Replies
1K Views
"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
61 Reactions
189 Replies
4K Views
Marekani imekuwa ikifuatilia mwenendo wa meli za kijeshi ambazo zimeonekan zikielekea upande wao kwenye visiwa vya Carribean. Haijajulikana kiuhakika meli hizo za kawaida za kijeshi na zile za...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mifano kwa CCM iko wazi akiingia Mwenyekiti Mpya anaanza Kusafisha Sekretarieti ya Chama na kuingiza Jamaa na Rafiki zake kadhalika Chadema itakuwa hivyo Sasa wale wanaolisha na kusomesha watoto...
0 Reactions
4 Replies
13 Views
Wadau hamjamboni nyote? Uzi huu unakusudia kuwaenzi Waandishi wetu wakongwe na wanaoheshimika wa ndani na nje ya nchi. Hivyo unachotakiwa ni kuweka msemo/ nukuu moja, jina la Mwandishi , Kitabu...
10 Reactions
130 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,603
Posts
49,806,793
Back
Top Bottom