Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Binafsi naona selikali itumie njia ya recruiting vijana wakio pata elimu aidha kwa ngazi ya diploma ama degree wanaopatikana katika familia zinazo fadhiliwa na mfuko wa TASAF ili kuondoa dhana ya...
0 Reactions
5 Replies
6 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
522K Replies
30M Views
#HABARI: Serikali ya Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea zimesaini Mkataba wa Mkopo nafuu wa Shilingi bilioni 422.16 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Binguni, Zanzibar. Mkataba...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe Martin Maranja. Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi CHADEMA ilivyosheheni wahuni...
18 Reactions
159 Replies
4K Views
Kituo hiki cha kujazia gesi cha kampuni binafsi kilizinduliwa mwaka jana mwishoni na Naibu waziri mkuu, Dotto Biteko. Wakati wanaanza kilikuwa hakina magari mengi yanayojaza gesi na kuna kipindi...
3 Reactions
3 Replies
179 Views
Mwezi uliopita (May, 2024) kampuni inayomiliki mtandao wa kijamii X zamani Twitter ,wametoa notice kua sasa ni rasmi maudhui ya kingono/ponographic contents ,maudhui ya mapenzi ya jinsia moja yaan...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
10 Reactions
61 Replies
443 Views
Poleni na majukumu mbalimbali ndugu zangu, Bila kuwapotezea muda,napenda kutoa ushuhuda juu ya umuhimu wa maji ya kunywa kama tiba katika kutibu tatizo la Vidonda vya tumbo na Bawasiri...
2 Reactions
1 Replies
2 Views
Ndugu zangu wana Jf habari zenu. Unajua kwenye haya maisha tunapitia mengi sana hasa katika utafutaji kwa upande wa Wanaume. Tunakutana na mambo mengi sana ya aibu, kukatishwa tamaa, kuachwa na...
152 Reactions
13K Replies
4M Views
Rushwa ya ngono imetajwa kama kikwazo kikubwa kwa Wanafunzi wa kike wanaokwenda kuomba kufanya field katika Ofisi mbalimbali nchini Tanzania ambapo kero hiyo imeibuliwa na Mwanafunzi wa Chuo cha...
11 Reactions
364 Replies
4K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,435
Posts
49,802,164
Back
Top Bottom