Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

moods wote qummmmmmmme zen wajinga nyie mnapenda nyuzi zangono tuu malaya nyie zakuelimisha hamzitaki mbwanyie nipigeni ban nihame vizuri
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wakuu Magonjwa ya kuambukizwa -Magonjwa yanayosababishwa na vimelea kama virus,bakteria na fungus. Magonjwa yasiyoambukiza -magonjwa ambayo hayahusishi vimelea fulan kama kisukar pressure...
0 Reactions
16 Replies
158 Views
Marekani imesema inaitambua rasmi Kenya kama Mshirika wake wa karibu Kiusalama ambae sio mwanachama wa NATO Ili kukabiliana na Ushawishi wa Russia na China Barani Afrika na hususani Afrika...
2 Reactions
10 Replies
77 Views
“Kikubwa kilichotuleta Arusha ni mechi ya Ligi Kuu dhidi ya KMC, mchezo ambao utachezwa tarehe 25 majira ya saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.” “Tangu nimekuwa msemaji wa timu...
1 Reactions
9 Replies
152 Views
Hii imenishtua sana. Huyu Mtanzania aliyekuwa anajichukulia sheria Mkononi ametuaibisha sana. Alishindwa kuvumilia mpaka arudi kwao? Nawaza lengo la kuweka camera vyooni ni nini?
3 Reactions
8 Replies
53 Views
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake. Nitaleta update zaidi. Wanawake kuweni sana makini...
19 Reactions
224 Replies
5K Views
Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani. Sasa cha kushangaza Mabeyo...
53 Reactions
461 Replies
32K Views
Ndugu zangu watanzania, Ukisikia watu wanafiki,waongo,ndumila kuwili na walaghai basi ni wafuasi wa CHADEMA. Hadharani watakujaza upepo,kukuvimbisha kichwa,kukupa kiburi halafu kumbe nyuma ya...
3 Reactions
50 Replies
490 Views
Hatimaye Mwenyekiti wa BAVICHA John Pambalu ametangaza rasmi kuwa yuko Kambi ya makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu. Pambalu amesema anaunga mkono Juhudi zote za Tundu Antipas Lissu...
3 Reactions
61 Replies
730 Views
Siamini eti ni mihemuko ya kihisia ndio inatufanya tu babaike na urembo wa mwanamke maana hata mwanamke mrembo anatamaniwa hadi na mwanamke mwenzake.
1 Reactions
3 Replies
30 Views

FORUM STATS

Threads
1,856,306
Posts
49,687,466
Back
Top Bottom