Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Masaa 2 yaliyopita mfungaji bora wa ligi kuu msimu wa 2023/2024 na mchezaji bora namba 2 Stephan Aziz Ki ametumia ukurasa wake rasmi wa Instagram kuwaaga mashabiki, wanachama, viongozi, wachezaji...
1 Reactions
29 Replies
904 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
42M Views
Nishajiuliza sana Sisi ni Dampo au ni nini Kuna hiki kinywaji kinaitwa Baltika nishazunguka sehem nyingi hapa dar KILA napokikuta lazim kiwe kimebakiza siku chache Ku expire yaani vinauzwa mwezi...
0 Reactions
2 Replies
58 Views
Usiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na...
46 Reactions
174 Replies
8K Views
Wasalaam, Hii inaumiza sana, hivi majuzi mdogo wangu alinipigia simu akilia kwamba pesa ya boss wake imeibwa kupitia simu. Akiwa angalia anasema kutoka kwenye Akaunti yake namba...
10 Reactions
69 Replies
1K Views
Orodha ya baadhi ya waliowahi kuwa wanachama wa CHADEMA, Hawa wote siku wanahama CHADEMA walisema Tatizo la CHADEMA ni mwenyekiti Mbowe, Hizi ni baadhi ya " Quotes " zao 1. Zitto Zuberi...
8 Reactions
112 Replies
2K Views
Job Description Altezza Travelling Limited wishes to invite competent, qualified, experienced, and dedicated Tanzanians to fill in the job vacancies positions currently available in the company as...
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Tukiendelea kulaumu mikataba ya ki chief Mangungo wa Musovero hatuwezi saidia kitu. Dawa ya yote hata ni Halmashauri Kuu kumtafuta mtu mwenye sifa moja tuuu ya utunzaji wa rasilimali za taifa...
4 Reactions
21 Replies
270 Views
Jamani tuoneane hurumu maisha magumu eti....yani post ya mwaka jana October 19,2023 Mpaka leo hakuna hata post moja kunifariji na hii safari yangu. Aisee maisha ni magumu kiukweli,wale wote...
0 Reactions
2 Replies
43 Views
  • Poll
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
77 Reactions
4K Replies
266K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,548
Posts
49,805,281
Back
Top Bottom