Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Na Bollen Ngetti 0683 226539 B-pepe bollenngeti@gmail.com SIKU tatu kabla Rais Samia Suluhu Hassan hajaelekea Korea Kusini kuhenyea kwa ajili ya nchi yake niliandika huko kwa Max (X) kwamba...
6 Reactions
118 Replies
3K Views
Habari wakuu, Kama ulikuwa hujui basi jua sasa ya kuwa unavita ya kiroho. Vita hii uwe unaiona au auioni ila ipo inaendelea kwenye Ulimwengu wa Roho. Uwe unajua au hujui vita ya kiroho ni...
12 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari ninaomba msaada wa kisheria ili haki iweze kutendeka , nimetishiwa kudhalilishwa na Mtoa huduma wa Pesa X inayomilikiwa na singularity Company kama inavyooneka hapo chini
1 Reactions
12 Replies
86 Views
Salaam, Shalom!! Nchi yetu ni maskini, na Umaskini wetu ni WA matumizi ya akili katika kuzitumia vizuri raslimali na kuzibadili raslimali kuwa utajiri. Niliwahi kuhoji kuwa, dhamana ya mikopo...
35 Reactions
198 Replies
3K Views
Wakuu ninashida na Godoro, kama kuna mtu atakuwa na godoro la ziada kwake ambalo alitumii naomba anisaidie. Hata like chakavu litafaa hivyohivyo kwa muda huu mhitaji anahitaji apate msingi wa...
4 Reactions
40 Replies
351 Views
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza kujenga Bandari ya Uvuvi ya Bagamoyo Kwa kushirikiana na Korea Kusini ambayo itagharimu Dola Milioni 156.5 ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 400 za...
2 Reactions
11 Replies
85 Views
Habari Wakuu. Ninaomba wataalamu wa afya mnisaidie uelewa. Katika normal check up yangu ya damu (full blood picture) white blood cells zimesoma 3.5. Nidadavue kidogo ●granulocytes ni 46.4%...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kumekuwa na uhaba mkubwa wa Sarafu za sh 500,200,100 na 50 pasipo kupatikana mwafaka wa usumbufu huu Ukweli ni kuwa sarafu hizi zinaibiwa na Wachina kupitia Mashine za kamari zilizotapakaa kila...
0 Reactions
2 Replies
15 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,220
Posts
49,795,505
Back
Top Bottom