Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

BODA BODA WANUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10 YA MAPATO YA HALMASHAURI Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Afya Mhe. Dkt. Festo Dugange (Mb)...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
asalaam Aleykum warahmatullahi wabarakatu. Kwa heshima na Taadhima, nawaomba Baraza la malumaa pamoja na Mwenyekiti wao wauchunguze msikiti huu wa Kingo uliyopo Morogoro ambao hivi sasa upo...
0 Reactions
20 Replies
196 Views
Ushawahi sikia watu wanaitwa "resentful" ? Hawa ni watu ambao kuna vitu hawana, wengine wanavyo, wao wanaamini wangepaswa kua navyo, sasa matokeo yake wanakua na chuki na husda. Ni lazima ukubali...
5 Reactions
29 Replies
662 Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Amosi Makalla amemshauri aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini mchungaji Peter Msigwa...
2 Reactions
11 Replies
413 Views
Hizi majuzi Papa Francis amelazimika kuomba radhi hadharani baada ya taarifa kuvuja kwamba kwenye kikao cha hivi karibuni na makadinali 250 wa Italia, Papa alitukana mashoga. Kwenye kikao hicho...
0 Reactions
7 Replies
109 Views
VITABU VINAVYOHAMASISHA MAPENZI YA JINSIA MOJA VYAKAMATWA TABORA Serikali Mkoa wa Tabora imekamata shehena ya vitabu vyenye machapisho ya kufundisha na kuhamasisha vitendo vya mapenzi ya jinsia...
0 Reactions
5 Replies
57 Views
Usiombe biashara ife au kazi iote mbawa, naishi maisha ya kuungaunga mwezi wa pili sasa baada ya kibarua kuota nyasi, poleni sana kwa mliowai kuishi maisha haya, maisha ya kula mlo mmoja na...
42 Reactions
152 Replies
6K Views
CCM haipo mbali na huu ukweli, wataanza kuform serikali ya mseto kisha itaondolewa madarakani. Moja ya matamanio ya Wa TZ ni CCM kuanguka. CCM has proven failures kwenye kila sekta, na for as...
2 Reactions
3 Replies
84 Views
Nyuki wa mama salaam, wazalendo mpo? Safari ya Korea imezaa imetunda bwana. Kumbe PhD ya Jeshima ilikuwa inatuandaa kwa jambo lenyewe. Inamaama Korea ndio wametuona wajinga kiasi hiki mpaka...
2 Reactions
20 Replies
408 Views
Chini ya uongozi wa Comrade Dr Makonda. Jiji la Arusha litaizidi Geneva kwa miundombinu, huduma za jamii na kupokea idadi kubwa ya watalii
0 Reactions
10 Replies
140 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,947
Posts
49,789,644
Back
Top Bottom