Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habarini! Mimi nina swali hivi wenzangu mnawezaje kukabili maisha. Najiskia kuchoka sana. Everyday I must worry about something. Yani matatizo hayaishi. Is this life? Being in constant worry and...
19 Reactions
47 Replies
1K Views
Askofu Dr Shoo amenena ukweli kuwa Rushwa za uchaguzi zimeanza kupenyezwa kwenye makanisa na misikitini, bila aibu watumishi wa Mungu na waumini chukueni tahadhali za kutosha ili msije...
0 Reactions
6 Replies
140 Views
Ndugu wajumbe, Naombeni ushauri wa namna nzuri (economically optimal) ya kujenga nyumba kwa ajili ya kupangisha tu. Nalenga kupangisha wanafunzi wa chuo/shule, mabachelors, na watu wanaoanza...
5 Reactions
37 Replies
814 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Hello members Eeh banaee Dunia inaenda kufunikwa na janga kubwa la Ushoga na usagaji we need to pray a lot and ask God to save us from this disaster in our families because everywhere disaster...
0 Reactions
1 Replies
18 Views
Nakumbuka wakati wa Ujenzi wa barabara ya Makambako Songea wale wakandarasi waliiba sana Madini Wakijifanya wanaenda kutafuta Miamba ya kokoto Maporini Sema tu viongozi wa wakati Walikuwa makini...
13 Reactions
44 Replies
438 Views
Tanzania na Ethiopia zimesaini mikataba kadhaa na Korea Kusini kwa ajili ya kupata mikopo ya mabilioni ya dola kwa ajili ya maendeleo. Mikopo hiyo itaiwezesha Korea Kusini kupata fursa ya...
19 Reactions
159 Replies
5K Views
Hakika sikutegemea kabisa kanisa kubwa kama KKKT lingeendesha uchaguzi wake mkuu tena wa kumpata kiongozi mkuu wa kanisa ktk style ile ile ya katakata wagombea kama alivyofanya Ramis Magufuli...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello members Habari hizi nikwa mujibu wa Hill Kuku wametangaza nafasi za kazi Madereza wa delivery wa pikipiki na madereva wa Hill defender Unahitaji ajira hizi fika oficini kwao mapinga...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hivi umegundua watoto wengi siku hizi ni wagumu sana kusalimia mtu. Yani wamjue, wasimjue, ni mpaka mzazi amwambie salimia anko, salimia anti. Bila hivyo! Vinauchuna kama kichuguu. Morals...
7 Reactions
26 Replies
201 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,005
Posts
49,790,955
Back
Top Bottom