Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Siku ya Baiskeli Duniani huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Juni. Siku hii ilianzishwa na Umoja wa Mataifa ili kutambua na kuhamasisha matumizi ya baiskeli kama njia ya usafiri, burudani, na...
3 Reactions
34 Replies
701 Views
My people how's weekend? Yangu iko poa sana, nimechill pande za Kigamboni napata upepo wa bahari. Sasa mambo yasiwe mengi, natamani kujua mitazamo ya wengine kwenye hili suala linalonichanganya...
44 Reactions
442 Replies
8K Views
Baada ya kushindwa kwenye uchaguzi wa Kanda ndugu MSIGWA ameanza kutoka vimanenomaneno na vyomba vya habari kuhusu kuhujumiwa. WEWE MSIGWA CHADEMA WANAKUJUA kwamba WEWE ni kijana wa mwendazake...
3 Reactions
9 Replies
96 Views
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu. Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa...
6 Reactions
19 Replies
354 Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Nigeria Yusuf Maitama Tuggar siku ya Jumapili aliwapongeza watu wa India na Waziri wa Mambo ya Nje S Jaishankar kwa "kuonyesha hadhi yao kama ngome ya kidemokrasia...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Aweso tunaomba harakisha kuleta mita za pre paid za maji kwenye mikoa yote hasa Mbeya, Arusha, Dar es salaam n.k.Kwani ubambikizaji wa Ankara kubwa za maji ni wa hali ya juu,wananchi wanateseka.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex. Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika...
34 Reactions
727 Replies
38K Views
Tunampongeza sana Samia kwa kwenda na wenzie huko Korea. Itakuza sana uigizaji katika nchi yetu. Tumeona boda boda nao wameomba akienda India aende nao ili wakajifunze namna bora ya kuendesha boda...
6 Reactions
9 Replies
94 Views
Mnaosikliza redio vipi wale vijana B 12 na Adam Mchomvu wamefit pale kwenye kipind cha jahazi au wameleta ujana wao wa XXL?
0 Reactions
6 Replies
279 Views
Mwenye kufahamu naomba anifahamishe hivi kwanini wanasheria mnaitana wakili msomi 🤔 kwani kuna mawakili sio wasomi ?
20 Reactions
183 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,919
Posts
49,789,274
Back
Top Bottom