Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30. Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi...
30 Reactions
69 Replies
1K Views
A House girl asked her madam to increase her salary. The madam asked her to give 3 reasons why she needs her salary to be increased. HOUSE GIRL: I can cook better than you. MADAM: Who told you...
1 Reactions
1 Replies
17 Views
Mkopo Tanzania uliopata huu wa masharti nafuu una riba ya asilimia 0.01, unalipwa kwa miaka 40, na una fungate (grace period) ya miaka 25. Yaani unaanza kulipa baada ya mwaka wa 26. Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
109 Views
Kweli hii ni maajabu. Vocha iliyoandikwa Tsh. 500 imeanza kuuzwa kwa Tsh. 700 Je, huu ni uungwana, la hasha huu si uungwana. Najaribu kujiuliza kuwa ongezeko hilo la bei limeanzia kwenye viwanda...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Habari Mabibi na Mabwana. Naomba nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye kero, Kero hii inihusiana na usafiri wa umma kwa wakazi wa Buza ( kwa Lulenge hadi Kanisani). Hapo awali usafiri wa...
3 Reactions
13 Replies
156 Views
Takribani mwezi mmoja wakazi wa kata ya Kawe tunataabika na kero ya kukatika maji kiasi bila sababu yoyote ya msingi jambo linalotishia mlipuko wa magonjwa kama kuhara na kipindupindu kutokana na...
0 Reactions
5 Replies
45 Views
Moja ya vitu ambavyo Simba na viongozi wake wanaferi ni eneo la usajili, Sasa hivi wanaongelea kusajili lakini wakati huo huo Awana majibu kama mgunda wanampa timu ama lah! Kama mgunda anapewa...
0 Reactions
1 Replies
23 Views
Embu kwa walio kuwepo Ni kipi kimetokeaa Hadi Nyerere kuambiwa anaongoza maiti zilizo lala naambiwa kuwa alimtamkia wasi wasi Mm nafikri jomo Kenyatta aliona jins watanganyikaa tulivyo na ndio...
3 Reactions
8 Replies
9 Views
Baada ya muda mrefu wa kukomaa na candlestick na video za YouTube rasmi nimejitoa kwenye biashara hii ya forex. Lengo la uzi huu ni kuwakaribisha newbie kwenye hii biashara ya forex inayosadikika...
36 Reactions
743 Replies
39K Views
Yassin Mustafa ana uwezo mkubwa kuliko Joyce Lomalisa Mutambala kwa Beki ( Mbavu ) ya Kushoto. Zawadi Mauya ana uwezo mara 100 kuliko Mchezaji wa Newcastle United ya katika Photoshop ya...
11 Reactions
62 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,046
Posts
49,791,902
Back
Top Bottom