Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tunampongeza sana Samia kwa kwenda na wenzie huko Korea. Itakuza sana uigizaji katika nchi yetu. Tumeona boda boda nao wameomba akienda India aende nao ili wakajifunze namna bora ya kuendesha boda...
1 Reactions
3 Replies
13 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo kupitia Ukurasa wakewa X (Twitter) amekanusha taarifa iliyotolewa na Sauti ya America inayoelezea Mkopo wa Tanzania na...
0 Reactions
18 Replies
352 Views
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu. Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa...
6 Reactions
18 Replies
328 Views
Salaam! Naomba nitambue kuwa JamiiForums ni msitu mkubwa uliojaa viumbe hatari na inahisiwa hata Aliens kutoka anga za juu wapo humu. Baada ya utangulizi huo, natumai magwiji mtaingia jikoni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya kushindwa kwenye uchaguzi wa Kanda ndugu MSIGWA ameanza kutoka vimanenomaneno na vyomba vya habari kuhusu kuhujumiwa. WEWE MSIGWA CHADEMA WANAKUJUA kwamba WEWE ni kijana wa mwendazake...
1 Reactions
0 Replies
1 Views
Kama nimekosea jukwaa samahanini sana, jioni ya leo nimekutana na mhalifu wangu aliyenitia hasara za hapa na pale. Sasa kwenye kumwadhibu akawa ananichora tu, amerelax, halii, hacheki, haguni...
1 Reactions
22 Replies
318 Views
Jukwaa la mtandao wa kijamii X linasema kuwa sasa litaruhusu rasmi watu kuonyesha maudhui ya watu wazima waliokubaliana, ilimradi tu yameandikwa kuwa ni maudhui ya aina hiyo. Hatua hiyo...
0 Reactions
12 Replies
120 Views
Sehemu kubwa ya Nairobi yenye Maendeleo ni East Leigh, sehemu hii karibu 90% ni wasomali wamejaa + kumiliki biashara. mfano Hapa ni majuzi, Rais wa Somali kaalikwa na wasomali wa Eastleigh kuwa...
5 Reactions
13 Replies
681 Views
Ni ombi muhimu, mwenye CV ya Kamishna wa Uhifadhi ,,- TANAPA Juma Kuji . Aiweke hapa!
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Waziri mkuu wa Israel hapana shaka ataingia kwenye rekodi za dunia kama mtu aliyeleta mateso makubwa si kwa wapalestina peke yao bali kwa dunia yote.Tayari ameshampiku Hitler na wengine waliotajwa...
3 Reactions
86 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,916
Posts
49,789,232
Back
Top Bottom