Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salamu kwenu nyote. Kikwetu tunasema, “ndege asiyeruka hawezi kujua wapi ulezi umekomaa”. Leo ninapenda kuwapa ABC za namna ya kufika nchi za wenzetu kwa wale wenye ndoto za kubadili mazingira...
113 Reactions
774 Replies
80K Views
Kwenda kazini natumia nauli ya 2000, kwenda 1000 kurudi 1000, asubuhi haiwezi kuzidi 1000 chai na harakati zingine, mchana hapa napiga sahani ya wali na nyama/dagaa/migebuka daily, ni 2000...
38 Reactions
182 Replies
7K Views
Habari Ndugu zangu, kama taarifa inavyo eleza, kijana huyu amepotea, haonekani. Wakazi wa Dar es salaam, Msaada kwa atakaye muona au kusikia taarifa zake.
6 Reactions
39 Replies
642 Views
Bill Gates daughter Phoebe Gates with her boyfriend Robert Ross Robert has a Masters of Science in Computer Science from Stanford, & he started working on computers at an early age, just like...
3 Reactions
18 Replies
345 Views
Kuna mkuu humu jana ameniambia kuwa huu mti(Palm) kwa kiswahili unaitwa Mkoche(Kisayansi Hyphaene Coriacea) Unapatikana pwani ya Afrika Mashariki kutoka Somalia hadi South Afrika na Namibia. Huko...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Na Bollen Ngetti 0683 226539 B-pepe bollenngeti@gmail.com SIKU tatu kabla Rais Samia Suluhu Hassan hajaelekea Korea Kusini kuhenyea kwa ajili ya nchi yake niliandika huko kwa Max (X) kwamba...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuanzia sasa hadi Januari 1, 2025 atakuwa amekamilisha kazi ya kuwanyoosha watumishi wa umma wasiokuwa wazalendo na wanaotanguliza masilahi yao...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
simba has offered gamondi a contract to be their next manager after young Africans season contract ended. gamondi is yet to make decisions. 🤔 😂😂
2 Reactions
15 Replies
202 Views
Kwenye huu mkutano uliofanyika Korea kuna Wakorea 4 tu kwenye chumba cha Mkutano. Lakini idadi ya Watanzania ambao ni wageni wako karibu 30. Sasa hapa sielewi IQ za watu wetu ni ndogo sana kiasi...
41 Reactions
123 Replies
3K Views
ili kurejesha uimara wa misuli ya uume wako na kuifanya iwe komavu chukua kanuni hii tafuta asali mbichi ya nyuki wa dogo tafuta unga wa mvunje haltiti tafuta mafuta ya zaituni...
1 Reactions
6 Replies
7 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,089
Posts
49,792,960
Back
Top Bottom