Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu. Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa...
11 Reactions
27 Replies
590 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
42M Views
Nimeshangaa siruhusiwi kureply wala kukoment chochote kwenye uzi Muungano: VP na Waziri wa Afya, hili si la Muungano. Msiliingize Kinyemela Option ninayoruhusiwa ni ku- like tu,
2 Reactions
9 Replies
10 Views
Habarini! Mimi nina swali hivi wenzangu mnawezaje kukabili maisha. Najiskia kuchoka sana. Everyday I must worry about something. Yani matatizo hayaishi. Is this life? Being in constant worry and...
9 Reactions
46 Replies
671 Views
Jaribu kufanyia Utafiti utaelewa Hata Nchi ya jirani ya Zanzibar ni mfano mzuri Rais akiwa mwislamu basi Vijana wao huwa na fursa ya kuingia madarakani tofauti na Wagalatia Nadhani huu ni...
21 Reactions
96 Replies
2K Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
261 Reactions
425K Replies
16M Views
cha ajabu hadi leo nauli hazijatoka ata matangazo kwenye redio na tv hamna kuwajulisha wananchi mbalawa na kadogosa mlisema kweli au kamba ngoja tuone zimebaki siku 10 tu morogolo iwe saa 1 na...
2 Reactions
12 Replies
133 Views
Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation, Joseph Butiku amewaonya wanasiasa na wanachama wa CCM kuacha mara moja kampeni za kumchangia Rais Dkt. Samia Suluhu fomu ya kuwania nafasi...
6 Reactions
24 Replies
572 Views
Kim Jong Un amesema nchi za ulaya zinainyonya Africa kwa kile walicho waghirib eti Mungu wao ndo mungu wa kweli wakati ulweli ni kwamba Africa inapaswa kuondokana na ukoloni huo. Ikumbukwe korea...
11 Reactions
33 Replies
966 Views
Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Kagera wametoa onyo kwa watu wanaotumia mitandao kumtukana na kumbeza Rais Samia pamoja na wasaidizi wake kuwa muda wao kuendelea kufanya hivyo sasa umekwisha. Onyo...
7 Reactions
110 Replies
6K Views

FORUM STATS

Threads
1,859,971
Posts
49,790,172
Back
Top Bottom