Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huu uzi umejikita kiinteligensia, facts na uchambuzi wa evidences zaidi ya ushabiki wa ule uzi mwingine. Eti nini? Eti hali mbaya ya nini? LIKO WAZI CHOPA YA KIONGOZI WA IRAN imeshushwa kwa space...
5 Reactions
49 Replies
2K Views
Wana jamiii naitupa hii kwa bei ya kitongaaaaaa VIDVIE SP 908 SPEAKER 🏷️ 250.000/= BLUETOOTH ✅ PORTABLE✅ MIC✅ Kwa mawasiliano zaidi Tupigie normal calls / wasap
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ndugu zangu Watanzania, Huu siyo utabiri kama ule aliofanya ndugu yangu mtangazaji nguli na mwandishi nguli wa Habari ndugu pascal mayalla aliyemtabilia Hayati Mwalimu Dr John Pombe Joseph...
4 Reactions
61 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Kichwa cha habari chahusika hapo juu. Nauliza hivi zile chopa mbili za Ulinzi zilizokuwa kwenye msafara na chopa ya Rais wa Iran iliyoanguka Ziko wapi? Zilifika salama...
5 Reactions
26 Replies
735 Views
Tunaona taarifa na mjadala kuhusu ajali ya helkopta inayodaiwa ilimbeba Rais wa Iran. Ikumbukwe siku chache Iran ilivamia Israel kwa makombora /ndege zisizo na rubani na Israel waliahidi kulipiza...
14 Reactions
153 Replies
5K Views
20 May 2024 Ikungi, Singida Ukoo pia wanakijiji wameamua baada ya kuligusa gari na yale matundu ya risasi watafanya tambiko la kijadi https://m.youtube.com/watch?v=w8L0W7rtMX8 Msemaji wa...
4 Reactions
35 Replies
791 Views
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi...
108 Reactions
137K Replies
9M Views
It is well known that muslims don't like christians and they even call us makafili. And for this matter we thank the american government to regulate the situation otherwise things could fall...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Ukistajabu ya Musa utashangaa ya filauni huu ni msemo waliotumia wahenga na ndioa tunashangaa mbona kipindi cha mwenda zake dada alisumbua sana ila kwa sasa kamgusa mama tu watu wamempita naye...
5 Reactions
13 Replies
166 Views
Aliyekuwa mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema na Mbunge wa Viti maalum amesema Jengo la makao makuu Mapya ya Chadema kule Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango ya Wabunge wa Viti...
14 Reactions
138 Replies
9K Views

FORUM STATS

Threads
1,855,498
Posts
49,664,289
Back
Top Bottom