Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Chembe hai za ubongo (neuronal cells) zina utando unaoitwa Sphingolipids( Haya ni mafuta maalum ya ubongo) na mojawapo yanaitwa Sphingomyelin.. mafuta haya husaidia kusafirisha taarifa ( impulse)...
2 Reactions
4 Replies
78 Views
Mwaka Jana Serikali ya Tanzania ilisema inaenda kufufua Mradi mkubwa wa kujenga Ukumbi mkubwa wa Mikutano ya Kitaifa Kwa jina la Kilimanjaro International Convention and Exhibition Centre-KICC...
3 Reactions
44 Replies
903 Views
Ndiye siye, siye ndiye! Ukiwa na ratiba ya kutembelea maeneo haya kuna namna itakukumbusha jinsi ya kuishi, sio kwa maana ya unyanyapaa bali kujilinda na kuwalinda wengine. Pamoja na elimu...
1 Reactions
3 Replies
66 Views
Nilienda Mtwara around January nikakaa kama wiki moja hivi. Nimenogewa nataka likizo yangu ya mwezi wa sita niitumie Mtwara. Mliowahi kuwa Mtwara ndani ya likizo ya mwezi wa sita nipeni uzoefu...
4 Reactions
20 Replies
270 Views
Kuna watu huwa wakiamini kitu huwa wanaamini mwanzo mwisho. Dada lao ameamua kumchallenge PK mara ya pili huku uchaguzi uliopita ulimuacha pabaya.
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Kila siku tunalia kuhusu kuadikika Kwa Dola licha ya juhudi za kukuza Uchumi lakini hakuna ambae anajadili jambo Hilo Kwa kuangalia sababu za msingi. Mojawapo ya vitu vinavyosababisha kuadikika...
6 Reactions
118 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Habari wakuu, nilisave picha zangu kwenye locked folder la google photo, cha ajabu lile folder limefutika na halina picha hata moja. Je, kuna uwezekano wa kuzipata?
0 Reactions
4 Replies
74 Views
Bangi ni zao lenye thamani kubwa kutokana na faida zake lukuki ukilinganisha na mimea mingine. Watu wengi wamekaririshwa upande wapili tu wa zao hili (madhara ya matumizi haramu ya bangi) Naomba...
1 Reactions
18 Replies
145 Views
UPDATE: Kati ya Takriban watu Milioni 27.79 waliojiandikisha kushiriki Uchaguzi Mkuu leo Mei 29, 2024 zaidi ya 17,000 ni Wafungwa ambao wamesajiliwa kutoka katika Magereza 240 Nchini humo Kura...
3 Reactions
21 Replies
815 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,614
Posts
49,751,023
Back
Top Bottom