Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
41M Views
Awali "Y" alikuwa Wakili na aka attest nyaraka za Mzee "X". Hatimaye Tapeli "Z" akadhulumu kiwanja, kesi ikafunguliwa. Na kwa bahati mbaya ikaanguka kwa Jaji "Y" ambaye ndiye alikuwa Wakili wa...
15 Reactions
188 Replies
6K Views
Nakuombea upone haraka urudi kwenye afya njema Pole sanaa, haupo peke yako nipo na wewe kwenye kila hatua. Wakati wote umekua ukinijali mimi, ni wakati wangu kukuonyesha nakujali pia Upone...
28 Reactions
314 Replies
4K Views
Ninapata mashaka na mifumo ya control number huenda imechezewa sana. Katika hali ya kushangaza, mifumo hii ina tabia za kutofautiana sana kutoka taasisi moja hadi nyingine na ndani ya taasisi...
10 Reactions
81 Replies
1K Views
Chukua hii nakupa;japo hatupangiani maisha kila mtu anajua jinsi anavyoyaendesha ila Kiukweli life ni gumu ndugu zangu na mwaka huu huku mashambani hali sio hali hasa Kwa upande wa zao la mahindi...
6 Reactions
41 Replies
493 Views
Kama unabisha subiri Baraza Kuu la CHADEMA ambalo ni Jipya litakapoketi. Tunakoelekea ACT wazalendo Zanzibar watakuwa ndio Wapinzani wa kweli wa CCM na hapa nakubaliana na bwashee Malaria 2...
4 Reactions
24 Replies
282 Views
Nampongeza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule kwa utumishi wake uliotukuka. Tumpe mtu maua yake anapostahili sawa na tunavyowakosoa. Sifa kuu za DC Mtambule ni hizi: 1. Msikivu sana...
1 Reactions
8 Replies
132 Views
Kwa Ufupi, Mara tu baada ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kumteua David Kafulila kuwa mkuu wa Mkoa Simiyu. Kafulila akajielekeza moja kwa moja kwenye kupambana na Walanguzi wanaofisadi zao...
6 Reactions
9 Replies
187 Views
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
28 Reactions
441 Replies
10K Views
Imetokea kuna binti 21 yrs, nilikuwa napunguza naye upwiru (siyo mchumba), akapata mimba na kujifungua mtoto. Wazazi wake hawanijui hata chembe maana ni miji (, hometowns) yetu ni tofauti na iko...
2 Reactions
53 Replies
897 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,490
Posts
49,748,205
Back
Top Bottom