Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hari zenu wana JF, Kuna gari aina ya IST imeibwa leo, yeyote atakaeiona naomba atupe taarifa simu 065 954 6653 078 495 5561 T. 441 DZD Kuna zawadi nono kwa atakae...
7 Reactions
91 Replies
2K Views
Habari zenyu kwema? Bwana mwaka huu mama watoto wangu ametokwa na michirizi baada ya kutumia losheni ambayo alikua hatumii mwanzo, inaitwa sitii sijui baada ya kutumia hajamaliza hata wiki 2...
2 Reactions
37 Replies
317 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Wakuu habari za mda huu, naomba kufahamu TCAA mtu wa Diploma of aviation aweza kulipwa kiasi gani na jinsi wanavyofanya kazi, maana nimeona nafasi sehemu. ASANTENI.
3 Reactions
29 Replies
363 Views
Habari wanajamvi, Utapeli na wizi wa Mitandaoni kwa kweli umekithiri sana jamani, yaani kuna ndugu yangu kidogo aibiwe na hawa watu. Ukweli ni kwamba wizi huu pia hutegemea zaidi bahati ila wengi...
4 Reactions
9 Replies
165 Views
Natoa wito Kwa Wabunge kumuwajibisha Waziri Mbarawa na Mtendaji Mkuu wa TanRoads walisainiana Mikataba hewa na wakandarasi wa kichina na Sasa mwaka umepita Serikali inasema inaendelea na...
3 Reactions
41 Replies
829 Views
Ninapata mashaka na mifumo ya control number huenda imechezewa sana. Katika hali ya kushangaza, mifumo hii ina tabia za kutofautiana sana kutoka taasisi moja hadi nyingine na ndani ya taasisi...
11 Reactions
93 Replies
2K Views
Nina kiwanja huko Bagamoyo nahitaji kujenga nyumba yangu ili nitoke kwenye nyumba za kupanga nikiwa na bajeti ya Milioni 20 tu,kwa pesa hii naweza kujenga nyumba ya vyumba vingapi naombe ushauri...
0 Reactions
3 Replies
23 Views
Wananiita Sugu!!! Nani!! Mbombo ngafu. Bilionea Joseph Mbilinyi aibuka kidedea. Mbowe ni fupa la mzimu, jitihada za Lissu kuunda kundi la kumuengua Mbowe uenyekiti chadema zimegonga mwamba. Kule...
8 Reactions
121 Replies
4K Views
Wanaume wengi huwa wana vimada nnje ila huwa wanajiamini sana kuwa hawachapiwi huko nnje, wengi huamini kuhudumia wake zao vizuri na kupiga mashe vizuri ndio kuwatuliza Lakini tunaambiwa kati ya...
5 Reactions
17 Replies
470 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,504
Posts
49,748,560
Back
Top Bottom