Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii sijui ni tetemeko au ni kitu gani, wataalamu tunaomba mfuatilie na mtupatie majibu, Ardhi inapasuka na nyumba zinabomoka, eneo ni Saku Mwisho DSM --- Taharuki imeibuka kwa wakazi wa Mbagala...
8 Reactions
82 Replies
3K Views
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake...
12 Reactions
120 Replies
2K Views
Mtoto wangu Ana miezi Saba juzi mama ake amenambia hajawahi kumuona alisimamisha uume Ilinichanganya Sana akili ilibidi nijipe mda nkakaa nae Kama masaa mawili hivi asubuhi kuanzia Saa 10 usiku...
7 Reactions
39 Replies
40 Views
Wakuu nimejaribu kuangalia kwene website yao sioni hata sehemu ya kulog in.
2 Reactions
89 Replies
851 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
41M Views
Kwa wapenzi wa TV, ushauri namba moja naweza kukupa, usinunue TV used. Never. Pambana na jikusanye ununue mpya. Sasa unavyonunua TV dukani au unaangalia online unaangaliaga vigezo gani? Najua...
5 Reactions
9 Replies
69 Views
Mkono mtupu haulambwi! Naam, ndivyo ninavyoweza kulielezea hili. Wikiendi iliyopita Rais alijumuika kwenye uzinduzi wa albam ya msanii wa kizazi kipya Harmonize akiwa kama mgeni rasmi pamoja na...
1 Reactions
15 Replies
141 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kila jambo na majira yake na wakati kwa kusudi maalumu chini ya mbingu. Nafikiri sote tunamfahamu vyema Mheshimiwa David Kafulila,tunafahamu uzalendo wake kwa Taifa...
13 Reactions
53 Replies
401 Views
Kuna kelele kubwa mno ya rushwa na maonevu nchi nzima serikalini,mahakamani,vyombo vya dola, CCM,Chadema, sekta binafsi je tutaponea wapi wananchi. Ndiyo maana tumekimbilia kwa Makonda
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kuna uzi unazunguka humu ukikosoa analysis ya mwanajamiiforum mwenzetu OKW BOBAN SUNZU kuhusu mchezaji aziza key sisi kama wanasimba tunamuona okw kama shujaa wetu kwakuwa amepigwa mawe sana na...
1 Reactions
3 Replies
4 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,024
Posts
49,735,958
Back
Top Bottom