Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Natumaini ni wazima ndugu zangu Asante mungu kwa zawadi hi kubwa ya kihistoria kwenye maisha yangu Kwa hakika mungu akubaliki wewe mwanamke uliebeba viumbe hivi tumboni kwako. Hadi sasa...
11 Reactions
34 Replies
196 Views
1) Hana pesa 2) Ni Mwenye hofu ya Mungu. 3) Ni mgonjwa. Nje ya hapo, bakora ni lazima😜😜
8 Reactions
65 Replies
990 Views
Wanasema ukifikiri umeona kila jambo hapa nchini basi ujue unajidanganya! Huko Monduli Arusha Watumishi nane wamebainika kuiba milioni 52 kupitia mfumo wa poss na cha kushangaza walipewa muda wa...
0 Reactions
5 Replies
108 Views
Wakuu juzi nilicheza mechi ila nilisahau kununua ndomu aisee na leo nlikuwa na mpango baadae ila nimetoa wakati wa kukojoa nimeona kama kuna chembe za usaha kwenye njia ya mkojo hii inaweza kuwa...
3 Reactions
2 Replies
15 Views
NIELEWE KWA MAKINI SANA. Mungu wa Israel Mungu Allah, Mungu wa wabudha, Miungu ya kale pale misri, Na Mungu au Miungu yote ambayo inaabudiwa ikiwemo mizimu na isiyo mizimu, ikiwemo hai na isiyo...
8 Reactions
109 Replies
1K Views
Kwa Wanaume wote; kuchapiwa ni Siri Yako! Kama kuna ushauri ambao sikushauri ukauombe kwa wanaume wenzako, ni huu wa kuchapiwa. Nakuhakikishia utaishia kuanikwa hadharani na zaidi utabezwa tu...
5 Reactions
39 Replies
530 Views
McLaren ni ndoto ya wapenzi wengi wa magari. Ila bei sio rafiki. Mfano, hii McLaren Senna inauzwa MSRP $1,000,000 ambayo ni kubwa sana. Sasa McLaren wametengeneza Sena 30 ambazo ni toy, zenye...
1 Reactions
5 Replies
77 Views
Sitoandika sana nisije nikapigwa ban, ila cha ushemejini kitamu sana. Kiufupi iko hv, wife kaona nimepoa sana ukali wangu na yeye akaanza kuja juu. Mwezi uliopita kikatokea kisa kimoja eti...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania(TALGWU), kimesema kinatambua kazi kubwa anayofanya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda katika masuala mbalimbali ikiwemo kusimamia miradi ya...
2 Reactions
6 Replies
30 Views
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
13 Reactions
141 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,857,723
Posts
49,726,447
Back
Top Bottom