Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mimi nashangaa sana tena hapa kwetu kila kukicha wanaojitokeza kwa kusema wanavipaji vya kutengeneza helikopta. Helikopta sio maputo wala utani kama wanvofikiria watu wengi na usalama wake ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kuna watu wanawakuza wa Israel kana kwamba wana uwezo watisha Sana. Jibu ni hapana. Wa Israel ni wakawaida. Hawana utofauti na jamii nyingine. Wana akili kama binadamu yeyote au kama wewe. Hawana...
0 Reactions
5 Replies
34 Views
Habari zenu ndugu zangu, Nauza Kabati la milango mitatu, Mninga mixer mbao ngumu kwa 350,000 tu! Mawasiliano ni 0626753305
0 Reactions
4 Replies
82 Views
Matokeo yapo kama hivi Civ C Bio C Chem B English B Phy D Math D History B Kisw B Nitumie njia ipi ili nitimize ndoto yangu ya MD kupitia Diploma ya clinical medicine
2 Reactions
48 Replies
1K Views
Baby . Reo nirienda kupima mareria nikaambiwa na dokita nina yutiyai,naomba unitumie era ya dawa,nitafulai sana........ Mwanamke wa hivi ni bora nikae mwenyewe
28 Reactions
72 Replies
801 Views
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu...
12 Reactions
48 Replies
976 Views
2019 Scania R450 6x2 Tractor Unit Mileage: 677,000kms MOT: April 25 Euro 6, High roof sleeper cab, auto gearbox, air con, double bunks, fridge, microwave, coffee machine, leather Price - Tshs...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kipindi cha mwaka 2020 kuna Ndugu zangu waliokuwa Canada walikuwa wanaagiza nguo na viatu kupitia DHL Kutoka hapa Bongo na sababu kuu walikuwa wanasma Bidhaa za Za mavazi Canada ni Ghali kupinduka...
35 Reactions
122 Replies
3K Views
Salaam kwa wana JF wote, naomba mwenye kibarua aniunganishe tafadhali nina miaka 26, nina diploma ya Accounting, na degree ya Accounting and finance. Nipo mkoa wa Arusha, hata internship nafanya...
10 Reactions
34 Replies
2K Views
  • Suggestion
Utangulizi Elimu ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote. Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha kwamba watoto wengi wanapata fursa ya kusoma, hasa katika ngazi za msingi na sekondari...
6 Reactions
16 Replies
179 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,445
Posts
49,663,152
Back
Top Bottom