Mimi nashangaa sana tena hapa kwetu kila kukicha wanaojitokeza kwa kusema wanavipaji vya kutengeneza helikopta.
Helikopta sio maputo wala utani kama wanvofikiria watu wengi na usalama wake ni...
Kuna watu wanawakuza wa Israel kana kwamba wana uwezo watisha Sana. Jibu ni hapana. Wa Israel ni wakawaida. Hawana utofauti na jamii nyingine. Wana akili kama binadamu yeyote au kama wewe. Hawana...
Matokeo yapo kama hivi
Civ C
Bio C
Chem B
English B
Phy D
Math D
History B
Kisw B
Nitumie njia ipi ili nitimize ndoto yangu ya MD kupitia Diploma ya clinical medicine
Baby . Reo nirienda kupima mareria nikaambiwa na dokita nina yutiyai,naomba unitumie era ya dawa,nitafulai sana........
Mwanamke wa hivi ni bora nikae mwenyewe
Ndugu zangu awali ya yote ni washukuru Wana jamiiforums wote ambao mliguswa na changamoto yangu iliyo nikuta ambayo ilipelekea kuandika Uzi uliotafsiliwa kama nimekata tamaa😭😭😭 Nahisi siku zangu...
Kipindi cha mwaka 2020 kuna Ndugu zangu waliokuwa Canada walikuwa wanaagiza nguo na viatu kupitia DHL Kutoka hapa Bongo na sababu kuu walikuwa wanasma Bidhaa za Za mavazi Canada ni Ghali kupinduka...
Salaam kwa wana JF wote, naomba mwenye kibarua aniunganishe tafadhali nina miaka 26, nina diploma ya Accounting, na degree ya Accounting and finance.
Nipo mkoa wa Arusha, hata internship nafanya...
Utangulizi
Elimu ni msingi wa maendeleo ya taifa lolote. Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuhakikisha kwamba watoto wengi wanapata fursa ya kusoma, hasa katika ngazi za msingi na sekondari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.