Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habarini !! Tayari nilifanikiwa kupata mke miaka miwili sasa na mtoto juu, ila Mke na Mama yangu hawaelewani kila cku maneno mke hamsikilizi mama kwa chochote ukifka kwa mama naye malalamiko...
2 Reactions
89 Replies
7K Views
Hellow wanachit chat Mi mgalikoko ,kijana wa makamo, jinsia ya kiume ni, ni kwa nini mnanitenga sana humu chitchat? Hasa ule uzi wa mention someone without any reason just to disturb them...
5 Reactions
38 Replies
125 Views
Baba nae Anasema mwanangu oa mwanamke ambaye ni msomi hii ni kwa sababu wewe pia ni msomi, mwanangu angalia boma la kuoa sio maboma yote ya kuoa. Sikushauri ni kabila gani la kuoa ingawa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba mnipe haki yangu ya kuuliza kile ambacho nakishuhudia katika makundi, jamii na nchi mbali mbali. Yaani katika muunganiko au mkusanyiko wa wa level yeyote ile, iwe familia, ukoo, wilaya...
8 Reactions
32 Replies
214 Views
Maisha yangu kwa muda mrefu nimekuwa nikiwa mdau wa kupenda sana ku hang na marafiki, nilipofika kwenye 25 nikaanza ku hang zaidi na small circle ya marafiki watano tu ambao tupo karibu sana Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Walipopata Taarifa kwamba Msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema utapita kwenye kijiji chao, Wananchi hao waliamua kumiminika Barabarani na kuzuia Msafara huo, kwa lengo la kupata neno la...
3 Reactions
13 Replies
58 Views
Mbunge wa Iringa mjini mh Jesca ameitaka serikali kupiga marufuku Waigizaji wa Kiume kuigiza kama Wanawake Jesca amesema Wanaume hawa wakishazoea kuigiza kama Wanawake wanaweza kujisahau na...
5 Reactions
20 Replies
449 Views
Maisha ya sasa yamebadilika Kumwachia Mungu kila kitu nahisi nae anachoka wakati mwingine. Kuna kazi nataka kuwapa watu/mtu atakae iweza kwa Dau atakalo litaka. Kazi ataifanya yeye na Team Yake...
1 Reactions
9 Replies
39 Views
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤 Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi...
45 Reactions
174 Replies
5K Views
Sifa zake:- 1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote. 2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10). Majukumu yake. 1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama...
1 Reactions
7 Replies
69 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,810
Posts
49,673,035
Back
Top Bottom