Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Bila shaka wengi wetu tunajua huyu mdada alifiwa na mume wake wa kwanza. Baadae akatokea ustaadhi mmoja hapa chuga akamsilimisha na kumfanya mkewe. Baada ya muda dogo akadoda wakachana akawa...
6 Reactions
56 Replies
593 Views
Rais Biden wa USA amesema Nchi yake inapinga amri ya ICC ya kuwakamata Waziri mkuu wa Israel mh Benjamin Netanyahu na Waziri wake Gallant Biden amesema ni makosa makubwa kuwaweka Israel kwenye...
8 Reactions
43 Replies
742 Views
Salaam, Shalom! Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania...
9 Reactions
99 Replies
2K Views
Hakuna asiyemjua nguli huyu aliejipambanua kwa umahiri kwenye medani za kisiasa, kiuchumi na kijamii. Tundu Lissu ni mwanasiasa na mwanasheria maarufu nchini Tanzania anayejulikana kwa utetezi...
1 Reactions
5 Replies
48 Views
Nina watoto 7 kutoka kwa wanawake wanne wote watoto nawalea kawaida yangu siamini mwanamke kulea mwanangu kwasbb ya kupachika chuki, na ubaguzi ila nilicho dhibitisha kwamba wanangu wote vitabia...
8 Reactions
22 Replies
322 Views
Imethibitishwa kuwa raisi wa Iran alikuwa ndani ya helicopter hiyo iliyopata ajali. Vikosi vya uokoaji vimeshindwa kutambua na kufika neo husika ilipotokea ajali hiyo kwa sababu ya hali mbaya ya...
29 Reactions
1K Replies
42K Views
Habarini wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu. Hivi nini kinakujia akilini baada ya kubadilishana namba za simu na mdada ukimcheki anaanza kukuambia nitumie vocha sms zangu...
2 Reactions
26 Replies
187 Views
Kuna baadhi yetu hatujui ni wakati gani na mazingira gani tutumie loud speaker katika rununu zetu, kwakuwa ipo hiyo option basi wewe unatumia tu. Kuwa muangalifu sana unapotumia loud speaker...
2 Reactions
9 Replies
161 Views
Ikiwa unapitia kwenye nyuzi nyingi utaona mizaha,kejeli na hata ushauri wenye maono hafifu kwa mtoa mada pasi faida kwake,watu wengi before waliona jukwaa hili ni mkombozi kwa wapenda uhuru,mawazo...
1 Reactions
1 Replies
4 Views
Slave auction today 2024!Not one peep from the so called civilized society and human rights organizations.No media MAY 19, 2024 Video below shows another "Sale" of children taking place today...
0 Reactions
8 Replies
168 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,670
Posts
49,669,025
Back
Top Bottom