Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Huduma za Internet kwa mitandao ya Tigo, Voda na Airtel kwa Tanzania ni mbovu mno. Mtu unaweka bundle lakini mpaka inaisha unakuta hujatumia ipasavyo kutokana na kukatika katika kwa huduma...
16 Reactions
87 Replies
3K Views
Karibu kwenye ukulasa wa Dovillen Property. Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH...
4 Reactions
3K Replies
224K Views
Leo nilienda kujaza fomu pale TTCL-Tegeta kwa ajili ya huduma ya fiber nyumbani Kwanza picha linaanza naambiwa utaratibu ni kujaza fomu kwanza halafu baadae mtu wa survey atakuja kungalia ndio...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Wakuu kwema, Tunajua historia ya Tanzania, Mwalimu Nyerere aliwahi kuingia katika mgogoro au vita na iliyokuwa jumuiya ya Waislamu (East Afric Muslims Welfare Society) ambayo mgogoro huo...
9 Reactions
130 Replies
5K Views
Habar! Mimi ni mkaazi wa Zanzibar (unguja) niliomba kuunganishiwa huduma ya internet kwa njia ya wire(fiber) katika ofisi za TTCL tokea mwaka jana 2023 , mara ya mwanzo kufika ofisini KIJANGWANI...
2 Reactions
19 Replies
733 Views
Kwa akili ya kawaida ili swala la kumchangia gari lissu ni wizi na ufisadi, kwa hali ya kawaida wanae mchangia ndiye anasema anataka kuondoa umasikini kwa watz ila bado anaomba msaada kwa masikini...
5 Reactions
105 Replies
2K Views
Nimetafakari sana nikajikuta nacheka tu bila sababu. Hivi huyu Leonardo ana huu uwezo mkubwa wa kudadavua hesabu za kuzidisha namna hii? Ama ni vile Clouds wameamua ku-create content kwa lengo la...
17 Reactions
84 Replies
3K Views
A
Habari za muda huu Wanajamvi, Hii Kampuni ya TTCL ni sikio la kufa na wala halisikii dawa tena, haifanyi vizuri kwenye mawasiliano ya simu kawaida wala kwenye Internet. Mimi nipo Dar es Salaam na...
2 Reactions
10 Replies
82 Views
Tunapendelea kutafakari ajali ya adui wa Israel kuna mambo ya kutafakari bila kujali ni ajali ya kijiografia au jiografia inaweza kuwa mbeleko ya kutimizia malengo. Waamaleki waliwahi kuwaambush...
6 Reactions
16 Replies
359 Views
Salaam, Shalom! Itakumbukwa, ndugu yetu Askofu Gwajima, alipinga majaribio ya Chanjo za Uviko 19 Kwa nguvu kubwa huku akijenga hoja imara mbalimbali kuwa, Chanjo hizi zinazoletwa Kwa Watanzania...
4 Reactions
54 Replies
509 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,573
Posts
49,666,336
Back
Top Bottom