Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wasalaam, Sehemu kubwa ya jamii haijui sheria mbalimbali hivyo, hushindwa kuchukua hatua dhidi ya wanaovunja sheria hizo na kuharibu ustawi wa jamii ya makundi yote. Kusambaza maudhui mbalimbali...
15 Reactions
35 Replies
289 Views
Wadau naomba ushauri wenu. Nina mpenzi. Anakaa kwingine anakofanyia kazi. Hivi juzi kati nilimpigia simu usiku kama saa 3 mpaka saa 7 hivi nikawa najibiwa SIMU INATUMIKA. Nikatuma na message...
20 Reactions
135 Replies
3K Views
1. Wanawake wa kichaga ukioa akiona tu una future anaanza kujiweka Loyal kwako kwa kukuaminisha yeye ni wakitofauti anataka mfanikiwe wote 2. Anakuweka karibu hadi hati zisome majina yake kupitia...
42 Reactions
163 Replies
5K Views
Habari! Nilipomaliza form 6 zikatoka nafasi za kwenda jeshi wanaita "kwa mujibu" basi nikaangaza macho yangu kwenye orodha nikaona "Ephen - Rukwa" Basi nikafurahi sana, furaha haikua kwasababu...
142 Reactions
1K Replies
461K Views
Usipoziba ufa utajenga ukuta huu ni msemo wa wahenga ukiwa na maana kuwa mapuuza juu ya mambo madogomadogo upata taabu na hasara kubwa baadae. Mimi naamini dalili za hili tatizo zilikuwepo ila...
1 Reactions
32 Replies
793 Views
Mwanaume upo kwenye mtoko na mwanamke wako, mwanamke wako kavaa nguo inaonesha hadi vitu vya sirini, mwanaume unakenua jino tu ukiwa umeshikamana na mwanamke wako hadharani. Mnapiga na picha na...
5 Reactions
15 Replies
261 Views
Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni...
2 Reactions
27 Replies
212 Views
1. Wasomi wengi tuna Dharau kwa wale Wasiosoma 2. Wasomi wengi ni Wabaguzi hasa kwa wale Wasiosoma 3. Wasomi wengi tunadhani Kusoma sana ndiyo kuyapatia Maisha 4. Wasomi wengi tunaishi Maisha...
13 Reactions
65 Replies
2K Views
We warned but were never listened to,infact we were ridiculed.Our beloved Magufuli also warned,but was never listened to and infact that very thing took his life.Gwajima warned with tears,but was...
1 Reactions
37 Replies
647 Views
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja😀 neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana...
77 Reactions
675 Replies
58K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,508
Posts
49,606,123
Back
Top Bottom