Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni kama Mungu ameumba idadi sawà kati ya wanaume na wanawake Kwa kuzingatia idadi ya wanawake na wanaume Tanzania na hata duniani kwa ujumla Statistics zinaonesha wanaume ni 50.4% na wanawake ni...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kwa takwimu za mwisho maambukizi mapya ni watu 163k (2023) Mwaka wa nyuma yake yalikuwa watu 182k (2022) Mwaka juzi 198k (2021) Maana yake kila mwaka kuna zaidi ya maambukizi mapya 150k...
9 Reactions
117 Replies
2K Views
Ndugu zangu Wana wa mungu, nawasalimu na poleni kwa tatizo la internet kuwa chini. Napenda tu nitoe kero zangu kwa baadhi ya posts. Hivi ni kweli kwa huu muungano wa Tanganyika na Zanzibar Kuna...
2 Reactions
23 Replies
489 Views
We warned but were never listened to,infact we were ridiculed.Our beloved Magufuli also warned,but was never listened to and infact that very thing took his life.Gwajima warned with tears,but was...
1 Reactions
24 Replies
389 Views
Wasalaam, Sehemu kubwa ya jamii haijui sheria mbalimbali hivyo, hushindwa kuchukua hatua dhidi ya wanaovunja sheria hizo na kuharibu ustawi wa jamii ya makundi yote. Kusambaza maudhui mbalimbali...
5 Reactions
10 Replies
66 Views
Nimepitia kumbukumbu za mjadala wa katiba na Muungano kwa miaka zaidi ya 11 sasa. Kumbukumbu kwenye YouTube na mahojiano yaliyowahi kufanywa na vyombo mbalimbali ikiwemo midahalo inaonyesha...
8 Reactions
25 Replies
1K Views
Mbinu za hali ya juu zinazotumiwa na wapiganaji wa Hamas kupambana na askari wa Israel wanaoelekea kuivamia Rafah,zimeelezwa na wachambuzi wa kuvita kuwa wapiganji hao bado wamejipanga kuendelea...
2 Reactions
27 Replies
921 Views
Habari Ni muda sasa nimekuwa nikifungiwa WhatsApp hadi natamani kuifuta kabisa, kila niki submit wanaifungua baada ya masaa 24 kisha haimalizi at a dakika 5 inafungiwa tena naomba msaada
2 Reactions
21 Replies
198 Views
Bado kuna umuhimu wa back up ya Hardcopy katika maswala yote ya kiserikali na kijamii ili kuepuka kusimama kwa huduma na mengineyo. Hili ni somo kubwa kwa wanausalama nchini. KWA HISANI YA MTU...
12 Reactions
19 Replies
959 Views
Kwa muundo wa Muungano wetu, hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu, mkweli wa nafsi na asiye mnafiki, anayeweza kutetea kuwa muundo huu uliopo upo sawa sawa. Ndiyo maana watu wote maarufu, wenye...
7 Reactions
43 Replies
912 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,499
Posts
49,605,892
Back
Top Bottom