Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nisipoongea nitakua sitendi haki maana niliahidi likifika langu katika hali yoyote. Nitakuja kutoa ushuhuda Siku mbili tu tangu nilipie gari yangu nilikutana na ule uzi wa aliyeagiza alphard...
4 Reactions
11 Replies
135 Views
Tangu kuteuliwa kwa RC Makonda Arusha, Lema ni kama amepotea, watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town Lema ana kazi sana. Utendaji kazi wa RC unawakosha watu na...
8 Reactions
22 Replies
389 Views
Mimi ni kijana mwaminifu kabisa sio mwizi ila natafuta mtu wa kua ananiazima geto hata kwa masaa kwa ajili ya shughuli zangu ndogo ndogo!! Nitakua nampooza ya maji!! NB: Wenye ushauri wa uende...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Mzee Wa upako anaamini Yesu Sio Mungu ni mojawapo tu wa viumbe vilivyoumbwa na Mungu msikilize mwenyewe akiongea https://youtu.be/arslWzOsg6U?si=kb8B1gDqxFl-jXq8
5 Reactions
67 Replies
577 Views
Kutoka Kwa Zitto. Zitto kasema Kwa uwazi kua hati ya Muungano ya mwaka 1964 , inatambua serikali ya Zanzibar , Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Muungano. Sasa Kwa nini CCM imekua inafanya...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hii ndio hali ilivyo kwa kozi ya PSV veta changombe, kozi ni ya wiki mbili, utasubili cheti zaid ya miez 3 kiufupi utakwama hii ni changamoto na inaumiza mno. Sent from my Infinix X665B using...
0 Reactions
5 Replies
71 Views
Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoani Kilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga. Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika...
14 Reactions
90 Replies
3K Views
Kuheshimu imani ya mtu, hasa katika nchi isiyo na dini, ni suala nyeti sana. Ndiyo maana Watanzania wengi wanapotaka kufanya sherehe, kama si Waislamu, huhakikisha kuwa mchinjaji wa nyama...
6 Reactions
167 Replies
2K Views
Rais wa Zambia Hakainde Hichilema ambae ndio role model wa Chadema amesema atamtia ndani mpinzani wake wa Kisiasa ambae ni Rais wa Zamani bwana Edgar Lungu Kisa Wananchi wengi Wanamfuata baada ya...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto. Big up kwa...
25 Reactions
138 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,160
Posts
49,592,109
Back
Top Bottom