Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu Salaam, Toka nimekaa hapa Jiji la Chalamila, Jana ndio mara yangu ya kwanza kufika Mbagala na kulala huko. Huu Ndio Mtazamo wangu na Baadhi ya niliyoyashuhudia Mbagala.. 1. Mbagala Ina...
9 Reactions
33 Replies
457 Views
Mishe gani ambayo inachukuliwa poa mtaani ila wanaoifanya wanapiga vibunda?
5 Reactions
59 Replies
2K Views
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati...
7 Reactions
107 Replies
1K Views
Sijui watahamia wapi au waje huku kwa wanaopenda kufia haya mavitu... US Secretary of State Anthony Blinken warned Qatar last month that they should expel Hamas senior officials if the terror...
6 Reactions
75 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa mara nyingine tena Dunia imempatia heshima ya kipekee kabisa na ya hadhi ya juu kabisa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Mama Samia...
5 Reactions
26 Replies
381 Views
1: Mungu ananguvu kuliko shetani. 2: Mungu ametoa kila kitu cha lazima mtu yeyote atakaye kwenda aende. Hakuna alichobakiza. 3: Neema ya Mungu ina nguvu kuliko nguvu ya dhambi 4: Kwa Mungu...
3 Reactions
20 Replies
102 Views
Siasa za dijitali, siasa za mitandaoni, siasa za Instagram, siasa za uchawa. Ukiwa na akili timamu huwezi kushabikia siasa za Makonda na umapepe wake wa kulazimisha kukubalika Kila pembe ya...
6 Reactions
30 Replies
828 Views
Mahusiano yana siku 3 nikamwambia Jmosi tuvunje amri ya 6 akasema mpaka nimzoee nijiridhishe kama ana tabia njema naye pia ajiridhishe ndipo tufanye. Hivi mtu munaishi mitaa tofauti muchunguzane...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nina kijana wa miaka 17. Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija...
31 Reactions
351 Replies
5K Views
AMINI AHADI ZA MUNGU ZITATOKEA KWAKO HESABU 23:19, Mungu si mtu, aseme uongo, wala si mwanadamu, ajute, iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalifikiliza? (Ref: 1Samwel 15:29, Malaki 3:6...
17 Reactions
66 Replies
751 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,319
Posts
49,596,744
Back
Top Bottom