Tangu kuteuliwa kwa rc makonda arusha,leema ni kama amepotea,watu wapo bize na makonda in short kama hali itaendelea hivi hivi A town leema ana kaz sana.utendaj kaz wa Rc unawakosha watu na kuona...
Aisee Hali kwa Vijana wa kiume inazidi kuwa Tete kufuatia Utafiti kuonesha kwamba matukio ya kujiua kwao yanazidi kuongezeka huku Hali hii ikihusishwa na msongo wa mawazo unaopelekea Magonjwa ya...
Hii ni mikopo inayotumwa halmashauri, nipo kigoma ni mtumishi mwaka wa nne nafatilia sipati, nikiingia kwenye hazina portal wanaonyesha naweza pata million 20, nimejitahidi kweli kweli kuupata...
Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoani Kilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga.
Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika...
Mnakimbia mataifa yenu, mnagoma kukimbilia mataifa ya waislamu na kuchagua kwenda bara Uropa kule ambako mnazaliana, ila mnataka hao huko Uropa wabadilishe mila na desturi zao ziendane na...
Sote tulisikia habari za yanga kufungiwa kwa kutomlipia ada ya usajili mchezaji ambaye wamefanya kuwa siri.
Hapa inawezekana kabisa walishirikiana na TFF kuchezea mfumo.Sasa hatari inayowakabili...
Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto.
Big up kwa...
huyu ni waziri muongo sana,na ni mnafiki na mfitini mkubwa.hotuba zake zimejaa unafiki na ni mla rushwa mkubwa sana.kila ziara anayofanya mikoani hulazimishwa kupewa rushwa na wakurugenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.