Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna mada nimeziona nyingi kuhusu wadudu. Ukweli ni kwamba wanaotrend sana kama wadudu kipindi hiki sio wadudu. Kwanza hao ni wakuja tu huyo kenyoyo sio wa Arusha ni wa Mto wa Mbu. Wadudu OG ni...
0 Reactions
7 Replies
171 Views
Inashangaza na inasikitisha kuona kijana ana miaka karibia 35 na hajawahi miliki hata gari la million nne, ukweli ni kwamba kwa dunia tuliyopo usafiri binafsi hauepukiki. Sijamaanisha ununue gari...
27 Reactions
222 Replies
3K Views
Umefika wakati sasa, tuwaamini akina mama katika kujenga Jamii yenye usawa kiuongozi, CCM, Wamefanya vizuri sana na kwa hakika wamefungua njia, hivi punde tutashuhudia tenzi mbali mbali zote kina...
0 Reactions
0 Replies
3 Views
Unaweza kufanya utafiti mdogo wewe mwenyewe na utagundua kundi la Viongozi wa Chadema waliounga Juhudi na wale walioenda NCCR mageuzi, CUF na ACT Wazalendo wote wanamkubali sana Tundu Antipas Lisu...
2 Reactions
20 Replies
162 Views
08 May 2024 MBOWE YAMSHINDA AMPINGA PROF. PALAMAGAMBA KABUDI MBELE YA HALAIKI ''HATUWEZI JADILI MAMBO YALE YALE KWA MIAKA 30''.... Freeman Mbowe amejikita katika chaguzi 6 zilizopita na...
6 Reactions
35 Replies
2K Views
Nimesoma mnyukano wa Halima Mdee na Tundu Lissu kama ilivyohabarishwa na Mwanahalisi Digital nimebaki nacheka tu. Sasa wewe Halima Mdee kama kweli unaipenda Chadema ulishaambiwa na Freeman Mbowe...
4 Reactions
33 Replies
674 Views
Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee...
64 Reactions
34K Replies
2M Views
Kwa lugha nyepesi ni kwamba misaada, watu na vinginevyo haviwezi kuingia moja kwa moja Gaza mpakani Rafah bila ukaguzi na idhini ya Israel. Jeshi la Israel limechukua udhibiti wa mpaka wa Rafah...
9 Reactions
46 Replies
1K Views
Habari Wanajamvi..... Leo katika pita pita zangu, nimejikuta nimefika Dampo la Dar es Salaam lililopo Pugu ~ Kinyamwezi. Huko bana kilichonipeleka ni mihangaiko tu lakini nimetoka na kitu ambacho...
0 Reactions
4 Replies
150 Views
Crown athlete Kali Sanaa inauzwa … Cc2500 Full ac Ina sunroof Ipo dar Bei 11M ….. nicheki pm kwa Mzigo mkali
0 Reactions
0 Replies
43 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,792
Posts
49,581,115
Back
Top Bottom