Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
514K Replies
29M Views
Mwarabu kaja na majahazi hapa Kaleta Dini kwa Mwafrika kwao kuowa Dada zetu Africa ni Ruksa ila ukitaka vita nenda kaowe Dada zao wa kiarabu au ingia kwenye mahusiano na Binti wa kiarabu hata muwe...
2 Reactions
14 Replies
252 Views
Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia hivyo basi naomba kufahamu kama...
3 Reactions
16 Replies
96 Views
Najua ni mara chache sana watu kuizungumzia Dodoma kwa sababu wanai-underrate nakudhani kuwa Dodoma imelala ukweli mchungu ni kuwa kwa kasi ya ukuaji wa mji huu kuna majiji mengi nchini yajiandae...
20 Reactions
5K Replies
216K Views
Takriban wiki mbili sasa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa,Tundu Lissu amekuwa akizunguka na kutoa tuhuma za rushwa zinazoendelea katika uchaguzi wa ndani wa Chama hicho. Lissu ameenda mbali...
1 Reactions
4 Replies
76 Views
Lissu ni kijana wa mjini na amefanya siasa nyingi za hoja na za hovyo akiwa Bungeni na sasa majukwaani. Kwa mtazamo wangu haya ndio majina ya wanachama 3 wa CCM wanaoweza kupambana na Lissu...
9 Reactions
149 Replies
5K Views
Tuzo ya Kocha bora wa msimu kwa EPL kuna majina matano, ambayo ni; 1. Mikel Arteta - Arsenal 2. Unai Emery - Aston Villa 3. Pep Guardiola - Man City 4. Andoni Iraola - Bournemouth 5. Jurgen Klopp...
3 Reactions
20 Replies
493 Views
Salaam, shalom!! Kama mada inavyojieleza, mwandishi angependa kupata majibu sahihi ya kisayansi, Kwanini ugonjwa huu wa kuambukiza huwa hauvuki mipaka japokuwa watu huvuka kuja Tanzania na...
2 Reactions
36 Replies
574 Views
Nje ya Siasa makamu Mwenyekiti wa Chadema, mh Tundu Antipas Lissu anaelewa Wazi kama kweli DP World wameuziwa Bandari basi Muuzaji ni Wabunge zaidi ya 300 wa Tanganyika waliopo bungeni kwa sasa...
4 Reactions
45 Replies
569 Views
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu...
10 Reactions
65 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,911
Posts
49,583,229
Back
Top Bottom