Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

JWTZ imekuwa ikifanya kazi vizuri kulinda mipaka ya nchi na Amani sambamba na kufanya whistle blowing kwenye TEUZI za kikimbizi. Pamoja na yote haya, bado kwangu wanasiasa wananguvu sana...
4 Reactions
7 Replies
113 Views
nilikuwa naoga ile maji yamenigusa tu . Ni hisi moyo upo mbio , ni mepata fatigue , nguvu sina , palpitations moja Kali . Aisee nikafunga shower nikapoa . Worse nipo late 20s . Sina hata mke...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Niliwekwa ndani na mke wangu baada ya mimi kugoma kutoa mchango wa kumdhamini kaka yake aliyekamatwa na pembe za ndovu. Zilitakiwa milioni 5 kumdhamini kaka wa mke wangu, ndugu zake walijikusanya...
69 Reactions
337 Replies
9K Views
Ndugu zangu Watanzania, Hapa chini ni picha ya Mama mzazi wa Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ,speaker wa Bunge letu pamoja na Rais wa umoja wa mabunge Duniani yaani IPU. Tukio hili la...
8 Reactions
101 Replies
3K Views
Makonda bado anaendelea na michezo yake michafu ya kufanya mauzauza kwa kuandaa matukio ambayo huwa anapachika "waigizaji". Niwakumbushe tukio alilofanya akiwa RC wa DSM. *Aliwakusanya masingo...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
09/Mei/2024 Nilifanikiwa Kushiriki Katika Uzinduzi wa Kiwanda cha Malori Na Tipa, Kinachoitwa, "Saturn Corporation Limited", Kilichopo Wilaya Ya Kigamboni. Mgeni Rasmi Katika Uzinduzi Huo wa...
3 Reactions
28 Replies
516 Views
Hizi gemu lazima Simba waziwekee mkakati maana Kagera kwao ni wa moto sana, tukifanya mchezo tunaweza kuacha point kagera, geita na Dodoma, hizo mechi ni ngumu sana. Mkakati lazima uwepo
2 Reactions
6 Replies
179 Views
Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia hivyo basi naomba kufahamu kama...
10 Reactions
58 Replies
556 Views
Nabii Mkuu,kada kindakindaki wa chadema Mbunge wa zamani wa Arusha mjini, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya kaskazini asipoangalia makonda anaweza kumtengenezea zengwe hapo Arusha Bila shaka...
0 Reactions
4 Replies
43 Views
Habari za Leo wadau wa humu ndani. Niende Moja Kwa Moja kwenye swali, mwenye uelewa anieleweshe. Rangi wanazopaka wanajeshi usoni wakiwa wanaelekea kwenye oparesheni za kivita huwa zinaashiria...
2 Reactions
16 Replies
462 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,953
Posts
49,584,778
Back
Top Bottom