Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nina kijana wa miaka 17. Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija...
11 Reactions
219 Replies
2K Views
Inakwaza na kufedhesha sana kwasasa kuona kuna ongezeko kubwa la watoto ambao hawajulikani baba zao ni akina nani na hata kama baba wanajulikana basi hawapo katika maisha ya mtoto. Big up kwa...
2 Reactions
4 Replies
5 Views
Lissu haamini katika taasisi, ndio maana hata sasa hataki kabisa kusikia maoni tofauti katika chama zaidi ya maoni yake. Chama hakijalipa mishahara muda mrefu, lakini Lissu kwa kufoka dhidi ya...
2 Reactions
23 Replies
189 Views
Jamani sijui Mimi ni mshamba?sijawahi penda biriani
8 Reactions
148 Replies
843 Views
Habari za Leo wakuu Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine...
3 Reactions
94 Replies
1K Views
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati...
1 Reactions
28 Replies
268 Views
Ni kawaida watu kuwa na mitazamo tofauti namna ya kuisha. Haijalishi umechukua mwerekeo upi bado kuna changamoto zitakuwepo na hata zinatofautiana uzito. Kuna msemo between two evils choose lesser...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Shalom....! Najua JF imebeba Watu aina tofauti na Malengo tofauti wenye Imani tofauti...! Ninahitaji kuwasiliana Nabii yoyote ambaye Mungu anamtumia, awe na Kanisa ama hana ni sawa...! Kuna...
1 Reactions
4 Replies
40 Views
  • Suggestion
Utangulizi: Kuendesha gari ukiwa mlevi bado ni suala lenye changamoto duniani kote, na kusababisha ajali nyingi, majeraha, na vifo kila mwaka. Nchini Tanzania, kama ilivyo kwa mataifa mengine...
0 Reactions
6 Replies
89 Views
Shaquille O'nel na mpenzi wake mpya wa maika 21 wakila raha Spain.... Hapa kuna mtu atapata muder case🤣🤣
8 Reactions
18 Replies
80 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,013
Posts
49,586,938
Back
Top Bottom