Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari za leo wana jf mimi ni kijana wa miaka 26 nimejitafuta kwa muda na kwa sasa nashukuru mungu niko tayari kwa ajili ya ndoa,na kifamilia na kimatunzo pia hivyo basi naomba kufahamu kama...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Hapa nilipo nina majonzi, roho imeniuma sana kwa kuzaliwa kwenye familia maskini Ipo hivi mimi kwetu ndio wa mwisho msichana peke yangu kati ya watoto 6.. Mzee wangu alitangulia mbele za haki...
36 Reactions
554 Replies
8K Views
Toyota Harrier hybrid new model (eah) Year 2015 Cc 1980 Mileage-77800km Winker mirror Fog light Push to start Location-Dodoma Bei-55m
0 Reactions
5 Replies
260 Views
Ile kauli mbiu ya kazi iendelee iko wapi! Daraja linafungwa zaidi ya saa kwa mambo ya chama watu wanachelewa makazini! Hivi tupo serious kweli hii nchi? Wamekosa maeneo mengine ya kuwangia hadi...
3 Reactions
12 Replies
203 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
514K Replies
29M Views
Grand mark 2 inauzwa million 5( maongezi kidogo yapo) … ipo dar kwa anaehitaji nichek pm
0 Reactions
6 Replies
100 Views
Wabunge wa Zanzibar wanatakiwa kuhudhuria vikao vya bunge vya mambo ya muungano tu sio vikao vyote vya bunge Kuna bajeti mfano hazihusu mambo ya muungano wanakalia Nini ? Au Kwa Nini wawawekwe...
10 Reactions
21 Replies
516 Views
Flash inawaka ila nikiichomeka kwenye PC inalazimisha niifomat. Ila notification inasema tap to fix na signal ya flash inawaka ,hii wadau inaweza kupona na DATA zikaendelea kubaki?
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Imagine kwa muda wa karibia 2 hours sasa tuko kwenye foleni kupisha Mwenge. In this Millennium tunapotezeana muda kiasi hichi kisa Mwenge! Disappointment ya hali ya juu. Wakazi wa Kigamboni...
14 Reactions
57 Replies
592 Views
Nje ya Siasa makamu Mwenyekiti wa Chadema, mh Tundu Antipas Lissu anaelewa Wazi kama kweli DP World wameuziwa Bandari basi Muuzaji ni Wabunge zaidi ya 300 wa Tanganyika waliopo bungeni kwa sasa...
3 Reactions
26 Replies
352 Views

FORUM STATS

Threads
1,852,899
Posts
49,582,926
Back
Top Bottom