Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Akihojiwa na vioa msemaji wa ccm ndugu amosi Makalla amesema anasikitishwa sana hali ndani ya chadema. Msemaji huyo amesema mambo yanayomsikitisha ni kuona chadema wanakiri kuna hela chafu...
1 Reactions
4 Replies
5 Views
Katika Ukurasa wake wa tweeter Mhe David Kafulila ameandika haya:- ************************************ "Kwasasa Umuhimu wa kutumia nishati mbadala hauna mbadala, Tanzania sasa ni...
1 Reactions
20 Replies
89 Views
Kuheshimu imani ya mtu, hasa katika nchi isiyo na dini, ni suala nyeti sana. Ndiyo maana Watanzania wengi wanapotaka kufanya sherehe, kama si Waislamu, huhakikisha kuwa mchinjaji wa nyama...
1 Reactions
44 Replies
166 Views
Nina kijana wa miaka 17. Wa kiume ni mpole na mkimya lakini hayuko smart.Tofauti na ilivo kwa watu wengi wa kimya kwa kua na akili nyingi kwa kijana wangu ni tofauti ni mkimya ila sasa akija...
11 Reactions
238 Replies
2K Views
Habara mwanajukwaa la michezo. Kiukweli nianze kwa kusema maneno mafupi tu Azam haistahili kucheza Champions League msimu ujao..Mi shabiki wa mpira naufahamu mpira vizur. Jana baada ya ile Half...
1 Reactions
6 Replies
240 Views
Shaquille O'nel na mpenzi wake mpya wa miaka 21 wakila raha Spain.... Hapa kuna mtu atapata muder case🤣🤣
11 Reactions
46 Replies
562 Views
Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ebenezer iliyopo Sango mkoanikilimanjaro, Anthony Sulle amefariki dunia kwa kujinyonga. Habari kutoka Moshi zinadai kuwa kabla ya kujinyonga marehemu aliandika...
9 Reactions
64 Replies
2K Views
Habari za Leo wakuu Nimerealize presha YA kupanda is the worst Kuliko ya kushuka ...no siku YA 4 Leo napambana presha haijakaa Sawa nilipima ilikua 140 Kwa 89 Kuna Dawa nlipewa inaitwa amlodipine...
3 Reactions
114 Replies
2K Views
Salaam, shalom!! Utafiti mdogo niliofanya unasema, mnyama huyu nguruwe, akizaa watoto, ukichelewa kuwaondoa, aweza kuwala wote pasi huruma, Kuna wanyama na ndege walioumbwa wakiwa na utindio...
4 Reactions
182 Replies
2K Views
REKODI YA DUNIA ya abiria wengi kupanda kwenye ndege moja iliandikwa mwaka 1991 baada ya abiria 1086 Waethiopia wenye asili ya Uyahudi kupakizwa kwenye ndege aina ya Boeing 747 kutoka Ethiopia...
13 Reactions
47 Replies
963 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,033
Posts
49,587,642
Back
Top Bottom