Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

#nguvumoja# VIKOSI VINAVYOANZA. AZAM FC SIMBA SC. Updates... Timu zote mbili zimeshaingia Benjamin Mkapa. Wanajiandaa kuanza mazoezi ya kupasha misuli. Updates.... 04' Azam wanajaribu...
11 Reactions
459 Replies
7K Views
Vijana wengi wana mitaji mdogo ila hawajui biashara gani wafanye kuendena na huo mtaji bila kupoteza huo mtaji, kwa ufupi ntataja aina za biashara ambazo kijana mwenye juhudi ya utafutaji anaweza...
8 Reactions
24 Replies
570 Views
Naamini kuna mambo mengi yanayochangia migogogoro na kuvunjika kwa ndoa nyingi kwa wakati huu Ila Naomba nielezee hii sababu majawapo ambayo ni Wanaume wengi au vijana pengine niwaite wavulana...
18 Reactions
128 Replies
2K Views
Toka taasisi hii imeanzishwa sijawahi kusikia wamekamata Trafiki akichukua rushwa. Wakati Hawa jamaa wamejiwekea malengo Kwa siku kukusanya kiwango kadhaa. Mtego wao Ni rahisi Sana. Chukuen hatua
3 Reactions
19 Replies
660 Views
Rais Samia amesharidhia Dr Faustine Ndugulile kwenda kuihudumia Dunia kama atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Africa Endapo atateuliwa kuitumikia Dunia basi Ubunge wa...
1 Reactions
4 Replies
147 Views
Ukiwa alosto huna mia ya kutu wanakukwepa. Kipindi kile cha kujitafuta ukiwapiga kirungu cha buku ya nauli au bundle ili uweze kufanya mawasiliano wanakupa majibu ya kilokole. Utasikia asiefanya...
42 Reactions
73 Replies
2K Views
1. Kupumzika makaburi – Denmark. Katika nchi nyingi, Makaburi huchukuliwa kama ni sehemu ya kuogofya, lakini Nchini Denmark wao ni tofauti kwani wamejiwekea utaratibu wa kwenda kupumzika maeneo...
0 Reactions
1 Replies
13 Views
Nikiwe Sibeko alivyokuwa anacheka huku anashangaa mi nilikuwa napenda balaa
6 Reactions
27 Replies
659 Views
Hivi ndivyo ilivyokuwa, kama ilivyosemwa na watu wa kale yakuwa shida haina adabu. Ndivyo ilivyotokea kwangu. Haya sasa tulieni niwasimulie, tena mtege masikio yenu msikie habari hii ya aibu...
0 Reactions
1 Replies
23 Views
Wanajamvi Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku chunya mbeya, Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40 katika...
11 Reactions
205 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,852,624
Posts
49,577,858
Back
Top Bottom