Baada ya Malalamiko Yaliyodumu kwa Miezi kadhaa na Kufikia Hatua baadhi ya Hospitali Binafsi kususia ama kuzuia Matumizi ya Bima hiyo hatimaye Leo Dawa 178 Zimerudishwa Tena kwenye Kitita Hicho...
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo...
Wakuu salaam......
Leo nakumbusha tu kale kamsemo kalitrend zzzzzzz....
Mwanaume anaridhika na kutamani uzuri wa ke kiasi cha kusema hata awe hana maarifa na utashi lakini akishajaliwa shape na...
Kama unatumia sana youtube utakuwa umekutana na matangazo ya mikopo mtandao.
Mimi sikuwa nayazingatia mpaka yakaanza kuwa ya ajabu ajabu kama hivi;
Basi nikaamua kufuatilia kidogo, nikatafuta...
Akiwasilisha makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maji, Waziri wa Maji Juma Aweso ameliambia Bunge na Wananchi kwamba Samia ni suluhu ya matatizo ya Maji Nchini na kwamba ameonesha Kwa vitendo maana...
Jipatie Drone aina ya KF 102 yenye sifa zifuatazo
•HD 4K camera
•2 axis Gimbal
•1.2 kilometre flying range
•25 minutes flight time per battery
•5Ghz Wifi frequency transmission
•Altitude hold...
Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Tanzania Mhe David Kafulila amesema ule mradi wa barabara za kulipia(toll road) uliokwama tangu awamu zilizopita Sasa kwenye awamu hii ya sita umeiva.
Mhe Kafulila...
Rais Joe Biden ametoa msimamo wake kuwa Marekani haitakuwa tayari kupeleka silaha Israel endapo Israel itaendelea na mpango wake wa kuvamia eneo la Rafah huko Gaza.
Tamko hili limemtoa nyoka...
"Mimi nakubali nimeomba radhi inawezekana ile kauli imewaudhi wengi, lakini mimi bado ni mtetezi wao wa kwenye matumizi na kuwasaidia kusoma vizuri kwa kuhakikisha wanafunzi wote wanalipiwa ada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.